BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,230
Msipothibitisha je? Mnamsafishaje???
(Nawaza tu)
(Nawaza tu)
Wewe jamaaa wewee....mweeeeTumu yote ya FIESTA inayozungukaga nchini ni wauza ngada.
Kazi yao ni kukimbizana na wapinzani tu ndio wanawezaYaani unamkamata mtu ukitegemea akwambie kama anatumia, anasambaza au vyote kwa pamoja?!!!
Huna intelligence ya kum-track umkamate ni ushahidi!!!!!!!
Huko CCP na KURASINI huwa wanafundishwa nini?
SIRO UNAKERA.
View attachment 479272
Kamanda Sirro: "Tunamshikilia msanii Vanessa Mdee toka jumatano ambaye taarifa zinaonyesha kuwa ni mtumiaji lakini pia ni msambazaji wa dawa za kulevya, tunaendelea na uchunguzi wetu na tukikamilisha uchunguzi wetu na ikathibitika kama ana kosa la kujibu basi, tutamfikisha mahakamani".
Chanzo: EATV
Na akikutwa hana hatia je?View attachment 479272
Kamanda Sirro: "Tunamshikilia msanii Vanessa Mdee toka jumatano ambaye taarifa zinaonyesha kuwa ni mtumiaji lakini pia ni msambazaji wa dawa za kulevya, tunaendelea na uchunguzi wetu na tukikamilisha uchunguzi wetu na ikathibitika kama ana kosa la kujibu basi, tutamfikisha mahakamani".
Chanzo: EATV
Ww muuza ngada vepe..kelele miiingi kama unawasiwasi karipoti police lifunguliwe jalada la uchunguzibashite mbona MNA mlea na mivyeti yake fake ya divishen Sifuri
Hii biashara ipo kwenye network.....wanaendelea kuchunguza ili wawatie wengine kambaniNi Taarifa isiyo na mashiko kwa umma kutoka Chombo cha juu cha usalama. Ni ujinga kusema tumemkamata kwa kutumia na kusambaza dawa za kulevya halafu unasema "lakini tunachunguza"!!!! Ni vema ungekaa kimya uitoe Taarifa baada ya uchunguzi.
Mie nilidhani busara ingekuwa kumhoji........ kumpima na kujiridhisha kama anatumia anauza anasambaza au la kisha kutangaza tumemshika anajihusisha na so and so............... au kwa sasa hatujathibitisha so and so.....Na akikutwa hana hatia je?
Uvunjifu mkubwa wa sheria na haki za watu.Lakini kamishna si alipiga marufuku kukamata watu bila ushahidi?
Naona hapo kamanda Sirro anasema uchunguzi haujakamilika na kwamba wakithibitisha kuwa anajihusisha na madawa then ndo atapelekwa mahakamani!!
Swali linakuja, je wamemkamata na kumtangaza kwenye media kabla hawajathibitisha kwa nini?
Naona approach kama ile ile iliyotumika kipindi cha Makonda kabla kamishna hajateuliwa imeendelea tena leo!
Udhaifu wa sheria na umbumbumbu wa wananchi juu ya haki zao vimeleta haya yoteMie nilidhani busara ingekuwa kumhoji........ kumpima na kujiridhisha kama anatumia anauza anasambaza au la kisha kutangaza tumemshika anajihusisha na so and so............... au kwa sasa hatujathibitisha so and so.....
Na utakereka sana.Tanzania bila madawa inawezakanaYaani unamkamata mtu ukitegemea akwambie kama anatumia, anasambaza au vyote kwa pamoja?!!!
Huna intelligence ya kum-track umkamate ni ushahidi!!!!!!!
Huko CCP na KURASINI huwa wanafundishwa nini?
SIRO UNAKERA.
Ikithibitika hana kosa je watamuomba msamaha auView attachment 479272
Kamanda Sirro: "Tunamshikilia msanii Vanessa Mdee toka jumatano ambaye taarifa zinaonyesha kuwa ni mtumiaji lakini pia ni msambazaji wa dawa za kulevya, tunaendelea na uchunguzi wetu na tukikamilisha uchunguzi wetu na ikathibitika kama ana kosa la kujibu basi, tutamfikisha mahakamani".
Chanzo: EATV