Kamanda Sirro: Bado tunamshikilia Vanessa Mdee

Kamanda Sirro: Bado tunamshikilia Vanessa Mdee

Lakini kamishna si alipiga marufuku kukamata watu bila ushahidi?
Naona hapo kamanda Sirro anasema uchunguzi haujakamilika na kwamba wakithibitisha kuwa anajihusisha na madawa then ndo atapelekwa mahakamani!!
Swali linakuja, je wamemkamata na kumtangaza kwenye media kabla hawajathibitisha kwa nini?

Naona approach kama ile ile iliyotumika kipindi cha Makonda kabla kamishna hajateuliwa imeendelea tena leo!
 
Ni Taarifa isiyo na mashiko kwa umma kutoka Chombo cha juu cha usalama. Ni ujinga kusema tumemkamata kwa kutumia na kusambaza dawa za kulevya halafu unasema "lakini tunachunguza"!!!! Ni vema ungekaa kimya uitoe Taarifa baada ya uchunguzi.
 
Yaani unamkamata mtu ukitegemea akwambie kama anatumia, anasambaza au vyote kwa pamoja?!!!
Huna intelligence ya kum-track umkamate ni ushahidi!!!!!!!
Huko CCP na KURASINI huwa wanafundishwa nini?
SIRO UNAKERA.
Kuzuia maandamano ya wapinzani
 
View attachment 479272Tunamshikilia msanii Vanessa Mdee toka jumatano ambaye taarifa zinaonyesha kuwa ni mtumiaji lakini pia ni msambazaji wa dawa za kulevya, tunaendelea na uchunguzi wetu na tukikamilisha uchunguzi wetu na ikathibitika kama ana kosa la kujibu basi, tutamfikisha mahakamani". -

Kamanda Sirro.


Chanzo : EATV

Sasa Huyu Siro kwani lazima awe na kosa huyo mtuhumiwa ? mbona mnafanya kazi kama ISIS ? kwa nini husemi kuwa tunafanya uchunguzi akiwa hana hatia basi tunamtoa haraka na kumuomba radhi na akiwa na hatia tutampeleka mahakamani ..
jeshi letu kaliharibu makonda kiasi linavunja sheria haki za watuhumiwa...
hawajali kama huyu mtoto akiwa hana hatia itakuwaje ? kwani wakimuachia na kuendelea na uchunguzi wao kuna tatizo gani ? sio vizuri kufanya kazi kama ISIS ..
 
View attachment 479272Tunamshikilia msanii Vanessa Mdee toka jumatano ambaye taarifa zinaonyesha kuwa ni mtumiaji lakini pia ni msambazaji wa dawa za kulevya, tunaendelea na uchunguzi wetu na tukikamilisha uchunguzi wetu na ikathibitika kama ana kosa la kujibu basi, tutamfikisha mahakamani". -

Kamanda Sirro.


Chanzo : EATV
Mmmmmh mademu wote wa JUX ni vimeo..!!
 
View attachment 479272Tunamshikilia msanii Vanessa Mdee toka jumatano ambaye taarifa zinaonyesha kuwa ni mtumiaji lakini pia ni msambazaji wa dawa za kulevya, tunaendelea na uchunguzi wetu na tukikamilisha uchunguzi wetu na ikathibitika kama ana kosa la kujibu basi, tutamfikisha mahakamani". -

Kamanda Sirro.


Chanzo : EATV
Siro ni kiboko yaani unashikilia mzigo wa bothi wako?? Kweli? Huogopi?
 
Kumbe mziki ili uendelee unahitaji hela nyingi. Naona hata yule mwingine wa rangi tatu ametulia inawezekana kuna mirija imekatwa.
 
cash madamee...mziki tu ndo wakukufanya uwe na mihela hivo vee??
binti wazaz wako wamekusomesha kwa gharama marekani umerud bongo na usomi wako umeshindwa kuutumia vema unaamua kuwa punda?
umetaka utajiri wa haraka haya hayo ndo matokeo.
Acha ubashite wewe, tulia kwanza wamkamate na ushahidi.. usiongee ovyo
 
Mkamateni na yule 'mzungu wa vyeti' Daudi Bashite.
 
Back
Top Bottom