Gamba la Nyoka
JF-Expert Member
- May 1, 2007
- 7,038
- 9,353
Lakini kamishna si alipiga marufuku kukamata watu bila ushahidi?
Naona hapo kamanda Sirro anasema uchunguzi haujakamilika na kwamba wakithibitisha kuwa anajihusisha na madawa then ndo atapelekwa mahakamani!!
Swali linakuja, je wamemkamata na kumtangaza kwenye media kabla hawajathibitisha kwa nini?
Naona approach kama ile ile iliyotumika kipindi cha Makonda kabla kamishna hajateuliwa imeendelea tena leo!
Naona hapo kamanda Sirro anasema uchunguzi haujakamilika na kwamba wakithibitisha kuwa anajihusisha na madawa then ndo atapelekwa mahakamani!!
Swali linakuja, je wamemkamata na kumtangaza kwenye media kabla hawajathibitisha kwa nini?
Naona approach kama ile ile iliyotumika kipindi cha Makonda kabla kamishna hajateuliwa imeendelea tena leo!