Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,654
- 68,616
Mgagaa na upwa hali wali mkavuMwenye wivu mla mbivu mla kavu sina ubavu.
Mgagaa na upwa hali wali mkavuMwenye wivu mla mbivu mla kavu sina ubavu.
Anaweza kula wali mkavu kama yupo kwenye diet na mafuta ya mzeituni kaamua tu kujipaka usoni badala ya kukaangia samaki.Mgagaa na upwa hali wali mkavu
Hahahahs mim simo hiii misemo naikimbiaAnaweza kula walimkavu kama yupo kwenye diet na mafuta ya mzeituni kaamua tu kujipakausoni badala ya kukaangia samaki.
We kimbia tu, ila zisije kuwa mbio za sakafuni zinazoishia ukingoni.Hahahahs mim simo hiii misemo naikimbia
Heee tenaaa watulie hebuWe kimbia tu, ila zisije kuwa mbio za sakafuni zinazoishia ukingoni.
Wenye kukausha ATM wamekuwekea kesi kubwa.
Mm na ww hatujui kwamba tatzo lilikuwa wapi? Yawezekana waasi walichafua anga kias cha ndege kushindwa kupita.Kwakweli huko Kongo wanao pambana kwa masaa 13 bila msaada ilitakiwa wawasiliane na dar es salaam wapate usaidizi pasipo kupitia UN pengine roho baadhi zingeokolewa. Kwenye hili UN ilitakiwa kupewa taarifa tu na ku comply na yaliyo jiri huku ikikubali kuwa ni mipango yake. Binafsi nalilaumu jeshi letu la kwa kuruhusu hayo yatokee, masaa 13!!!.......ni mengi sana wakati mapigano yapo nchi ya jirani tu. Sasa tungetegemea nini kama majeshi yangekuwa bara jingine?????. Tusije kugeuka na kuwa na jeshi la la wacheza ndomboro kama la kongo.
Hata uniform ya shule ya msingi!Hivi kwanini mwanamke akiwa katikauniform huwa anazidimvuto?
Uniform yoyote, ya mwanajeshi, ya nesi etc.
Hapa kuna wazazi na mabazazi.Hata uniform ya shule ya msingi!
Kaka hasa hapo kwenye ness dah huwa wananikosha sana yan upaja wa nyuma na tumistari flani hivi amazing ulim nnje lazma uchukue namba aiseHivi kwanini mwanamke akiwa katikauniform huwa anazidimvuto?
Uniform yoyote, ya mwanajeshi, ya nesi etc.
Hahaha,Kaka hasa hapo kwenye ness dah huwa wananikosha sana yan upaja wa nyuma na tumistari flani hivi amazing ulim nnje lazma uchukue namba aise
Naona bunduki za France ila bongo kila silaha tunatumia hatuna standard kabisa