Kamanda Simon Sirro namkubali!

Kamanda Simon Sirro namkubali!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,410
Reaction score
14,119
20171001_112200.jpg

Kati ya ma IGP wa miaka ya karibuni, IGP Simon Sirro ni kamanda wa maaskari.

Ukimfuatilia utendaji wake si mtu wa mchezo mchezo na yuko fiti.

Hii picha ya Nipashe leo 1/10/2017,inajieleza.

Tunashukuru wale makamanda wenye vitambi mizigo, sasa wamepotea.
 
Tetea hoja yako vizuri bado hujaeleweka
 
Unamkubali kimazoezi au kiweledi na kujisimamia? Mpaka leo ujue kuna watu wasiojulikana ambao wanatenda uhalifu mchana kweupe? Ukumbuke bado hajajipambanua kama mtendaji huru kimaamuzi hata kidogo bado anatumia nguvu nyingi kupambana na wapinzani badala ya matatizo ya kidemokrasia, kwangu naona bado sana ukiachilia mbali ukakamavu wake wa kijeshi na kurukaruka kwenye matukio lakini hayuko huru
 
View attachment 599631
Kati ya ma IGP wa miaka ya karibuni, IGP Simon Sirro ni kamanda wa maaskari.

Ukimfuatilia utendaji wake si mtu wa mchezo mchezo na yuko fiti.

Hii picha ya Nipashe leo 1/10/2017,inajieleza.

Tunashukuru wale makamanda wenye vitambi mizigo, sasa wamepotea.
Kwani camera ndio ilimfuata (kwa bahatimbaya) kamanda Siro kwenye mazowezi, ama Siro ali leta camera kwenye mazowezi?
 
View attachment 599631
Kati ya ma IGP wa miaka ya karibuni, IGP Simon Sirro ni kamanda wa maaskari.

Ukimfuatilia utendaji wake si mtu wa mchezo mchezo na yuko fiti.

Hii picha ya Nipashe leo 1/10/2017,inajieleza.

Tunashukuru wale makamanda wenye vitambi mizigo, sasa wamepotea.
Mpelekee my wife wako kwa wiki moja.
 
Kwa vile we ni gwiji la kukodisha wanawake wa kwenu, ukinikodisha mamayo nitakubaliana nawe.
Wewe si umemkubali siro na umekuja hadharani kwa ukiri usio na shuruti, mbona unapanda nisan nyeupe tena?
 
Wewe si umemkubali siro na umekuja hadharani kwa ukiri usio na shuruti, mbona unapanda nisan nyeupe tena?
Sasa mambo ya kumleta mamayo kwenye mjadala una washwawashwa na nini?
 
Safi sana Kamanda na CDF UHAMIAJI. TSSS makanda waige Siro.
Na maaskari wote wenye vitambi na wasio weza mazoezi walipwe wastaafu
 
Back
Top Bottom