Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,676
- 126,848
Kumkubali kwako kunatusaidia nini?
Duh, huyu naye polisi?!
Ni kipimo tu cha kiwango unachomkubali kamanda!Sasa mambo ya kumleta mamayo kwenye mjadala una washwawashwa na nini?
Now yu a toking!Ni kipimo tu cha kiwango unachomkubali kamanda!
Kumbe unamkubali kiutaniutani.
Enewei
Mshauri basi atukamatie wale jamaa wasiojulikana, si unaona ndambi kushney!!
Complex equation.Now yu a toking!
Naamini suala la wasiojulikana linakuwa orchestrated na wanasiasa.
Lingekuwa la kipolisi zamani wangekuwa wameshughulikiwa.