Kwanza mnajifanya kuguswa na kifo cha Mawazo wakati mlikuwa mkimhisia kauza chama kule Geita. Inawezekana nyinyi wenyewe ndio mmemshughulikia kwa hasira za kushindwa kwenye uchaguzi ili mpate sympathy kutoka kwa wananchi. Acheni uhuni wenu. Chacha Wangwe alikufa hivihivi mpaka leo kifo chake kina utata? Hakuna majibu, ni Kwa hisia kuwa viongozi wa chadema walishughulikia hili. Tupeni majibu kwanza ya kifo chake then turukie hili la Mawazo. Mungu amrehemu., R.I.P