Mjomba wa taifa
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 231
- 161
Serikali yetu ni sikivu sana na ninayoimani kuwa baada ya kughafilika katika kucheza filamu Part I ambayo sterling Mkenya ndiye aliyemshambulia Dr Ulimboka ni muda muafaka tena kwa kamanda Suleimani Kova kutupa picha part II ya tukio lile.
Watanzania hawajasau yaliyompata Ulimboka licha ya kuwepo na mambo mengi kama migomo ya waalimu, mafao ya wafanyakazi, ushindi wa Yanga Kagame, Rushwa ya Wabunge, mgogoro wa Malawi na mengine mengi bado ni vyema kwa Serikali Makini ya Chama tawala ikatwambia imeshawakamata wangapi hadi sasa na lini watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani.
HATUJASAHAU JAMANI EEEEEE!!!!!!!
Watanzania hawajasau yaliyompata Ulimboka licha ya kuwepo na mambo mengi kama migomo ya waalimu, mafao ya wafanyakazi, ushindi wa Yanga Kagame, Rushwa ya Wabunge, mgogoro wa Malawi na mengine mengi bado ni vyema kwa Serikali Makini ya Chama tawala ikatwambia imeshawakamata wangapi hadi sasa na lini watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani.
HATUJASAHAU JAMANI EEEEEE!!!!!!!