Rose Mutwe
Member
- Nov 9, 2011
- 16
- 4
Napita tu, lakini Mungu mwenye uweza wote atayadhihirisha yote yalinyuma ya pazia, siku yaja.
Kwa mujibu wa gazeti la mwananchi la leo, akiojiwa kamanda kamuhunda kuhusu kifo cha mwangosi alisema Kazi yetu ni kutekeleza majukumu na maagizo tu na mimi niliyafanya hayo yote..
Nilishapewa siri ya Makamanda wa mikoa(RPCs} kuwa ni rejected officers. Kwa sababu hiyo wamekuwa maroboti ya JK. Ukifuatilia kwa makini utagundua hilo, ndiyo maana hakuna TAMKO la serikali juu ya mauaji yote yaliyokwisha tokea. Muulize Vincent Nyerere kwa nini alikatazwa kusoma kipengele cha mauaji haya kwenye hotuba yake pale mjengoni kwenye kikao cha bajeti!Utaumia kichwa ukiuliza elimu za maaskari, hata matendo yao yameshakupa picha ya elimu na uwezo wao.
Hata mauaji ya kupewa maagizo wameshindwa kuyafanya kuvuruga ushahidi!! Sikiliza kauli za makamanda wengi utagundua wengi ni zero brain
Hivi ni sahihi kwa mtu kuvunja sheria za nchi kwa madai kuwa anatekeleza maagizo toka kwa kiongozi mwingine?
nakuapia huyu jamaa atakufa kifo kibaya kuliko kile cha Barlow na Mwangosi... Na mwili wake hautaonekana... Nipe muda, kuwa na subira.Kamuhanda haendi kwene vikao vya harusi hadi saa saba usiku jamani???
nakuapia huyu jamaa atakufa kifo kibaya kuliko kile cha Barlow na Mwangosi... Na mwili wake hautaonekana... Nipe muda, kuwa na subira.
Na asipo tubu laana itaendelea mpaka kwa vizazi vinavyofuata katika uzao wakenakuapia huyu jamaa atakufa kifo kibaya kuliko kile cha Barlow na Mwangosi... Na mwili wake hautaonekana... Nipe muda, kuwa na subira.
Kwa mujibu wa gazeti la mwananchi la leo, akiojiwa kamanda kamuhunda kuhusu kifo cha mwangosi alisema Kazi yetu ni kutekeleza majukumu na maagizo tu na mimi niliyafanya hayo yote.
Unaona, ngoma hiyo ameshaanza kuwatumia salamu waliomtuma ki aina kwamba alikuwa anatekeleza maagizo yao waliomtuma, hii inaweza kutoa jawabu la kwanini JK amekaa mbali sana na issue Mwangosi hasa kuhusiana na kitendo chake cha kukataakatakata kuunda tume huru ya uchunguzi.
Kkuhusu mengine amezungumzia kuwa gari lake lilikuwa mbali na eneo la tukio na kwamba polisi ilibidi watumie nguvu kujitetea kwani walirushiwa mawe na raia.
Yaani sijui Kamuhanda kama anajua kuwa kuna kitu kinaitwa video ambayo haisemi uongo pengine hajui kuwa tukio zima liko kwny youtube hata kipofu anaona kuwa hakuna jiwe lilorushwa na raia.
Katika riporti ya uchunguzi iliyotolewa na Baraza la habari na Jukwaa la wahariri Tanzania, imeeleza kwa kina tukio hilo na kwamba polisi walipomzingira Mwangosi huku wakiendelea kumteremshia kipigo, OCD Mwampamba akifanya jitihada za kumwokoa, Kamanda Chamuhanda alipiga honi ya gari lake na mara kishondo cha bomu kikasikika kilichomwua Daud Mwangosi.
Kazi hizi hazihitaji elimu kubwa saana hapa Tz tofauti na ulaya! Kwanza hapa ukiwa msomi ni adui kwa wenzio,Kuna maswali ningependa kujua kuhusu Kamuhanga,
1.0 Hivi anafanya kazi kwa mkataba au bado yupo under 60yrs ndani ya Jeshi la Polisi.
2.0 Elimu yake au CV yake general kwa mwenye kumjua zaidi????