Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,647
- 272,448
HISTORIA YA KURA ZA URAIS TANZANIA 1995 - 2010
Mwaka 1995 jumla ya kura za wapinzani zilikuwa 2,486,323, sawa na asilimia 38.17. Uchaguzi uliofuata wa mwaka 2000 wapinzani walipata jumla ya kura 2,309,123, sawa na asilimia 28.26 na kupungua zaidi mwaka 2005 walipopata kura 2,241,525 (sawa na asilimia 19.72. Mwaka 2010, upinzani ulipata kura 3,121,136. Ingawa kwa asilimia, kura hizo zilikuwa asilimia 37.16 pungufu ya asilimia za uchaguzi wa 1995, idadi ya kura za wapinzani ilikuwa kubwa kwa tofauti ya zaidi ya kura 700,000.
Kwa trend hiyo mwaka 2015 upinzani watashuka tena kwa takribani asilimia 13 au 11 kutokana na vurugu zilizosheheni katika chama cha Chadema na CUF. Zitto Kabwe na kundi lake na Hamad Rashid na kundile wote hawa watasababisha negative performance ktk matokeo ya ubunge na urais.
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA! KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
UMETIA AIBU sana !