Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Subiri sasa hao pro-ccm wengine wanakula mchana lakini pia jioni kwenye uji na tambi wapo pia. waje waanze kumwaga ***** wao hapo
Ni wazo zuri sana lakini kurusha kwenye TV napo ni grama kubwa sana...wajitahidi hata radio station ya maana irushe...
Baada ya Lema kukosa posho ameamua kubuni mradi wa kuwarubuni watanzania na Movement 4 Chaga. Watanzania tuamke, hao ni wezi watupu.
only83
Acha kupotosha lengo la harambee hiyo. Tunajua kuwa harambee hiyo inahusu kuandaa mapokezi ya ULIMBOKA ikiwa ni pamoja na kuchangia utengenezaji wa kanda yenye upotoshaji kuwa Serikali ndiyo iliyohusika na Utekaji.
plz henry,kama chama tizameni uwezekano wa kuwa na chadema tv' na chadema fm radio,kwanza mtazarisha ajira kwa vjana pili mtatupasha habari kwa uhakika pia ni kitu kinachowezekana coz vjana wengi wa chadema ni wasomi na dunia sana inaelekea ktk digital na hapo M4c itakuwa rahisi kuelekea 2015 tusiogope 2naweza,jioni nitatizama pamoja na familia yangu.Msikose kuangalia vuguvugu la mabadiliko kupitia Star Tv leo saa tatu usiku. Lengo ni kuchagisha 5 bil.
M4C Dar es salaam, We have the power. 5 Bil inawezekana
Mnachangisha watu halafu kina Slaa wanajigawia utasema karanga, kwanza kusanyeni alizokopa Slaa halafu ndio muombe zingine.
Mkuu, hapo nilipoBOLD sahau kabisa hicho kitu! Serikali ya CCM hawawezi kuruhusu hicho kitu hata siku moja.plz henry,kama chama tizameni uwezekano wa kuwa na chadema tv' na chadema fm radio,kwanza mtazarisha ajira kwa vjana pili mtatupasha habari kwa uhakika pia ni kitu kinachowezekana coz vjana wengi wa chadema ni wasomi na dunia sana inaelekea ktk digital na hapo M4c itakuwa rahisi kuelekea 2015 tusiogope 2naweza,jioni nitatizama pamoja na familia yangu.