Hiyo nyekundu hapo juu ni msisitizo kuwa umesahau kwa makusudi kuwa wizi unaofanywa na mafisadi wa ccm kwa njia ya wawekezaji feki huuoni. Kaa hivyo hivyo. Nina hakika baada ya 2015 utafaidika na matunda ya Mpango wa M4C. Hapo ndipo utakosa la kusema. VIVA MC4. DOWN MAGAMBAM4C ni mpango wa kuwaibia wananchi wa Tanzania.