mbinde
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 801
- 652
Unaona hadithi kwa kuwa elimu ndogo hujaelewa BACK2SCHOOL na hili ndo tatizo lenu na ngao yenu ni MATUSI sikushangai ndo sifa zenuMkuu umekunywa viroba au pombe za kienyeji?? Unaandika kama hadithi za babu yangu nilipokuwa ndogo akiniambia ukiona jua na mvua ujuwe simba anazaa.
Kwani ramani iliwahi kuwa ya uongo??Kauza ramani ipi sasa !! si kasema ukweli wa mambo
Kwa hiyo tunaamua kuiuza nchi??Chanzo Cha Haya Yote Nikutokana Na Kuzuia Mikutano Ya Kisiasa Hapa Nchini
Kamanda anapouza ramani vitaniTumia ubongo kufikiria hivi suala la mtu kupata haki yake mahakamani ni waliambiwa na mtu? Kwamba Tanzania ina order ya ndege Canada ilikuwa ni siri mpaka mtu awaambie? Acheni kutumia vichwa vya watu wengine kufikiria, ni wapi Nchi imesalitiwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamanda kauza ramani vitaniLissu kakamatwa sababu Sizonje pressure imepanda magogoni anaweweseka huku anamtaja Lissu
salamu jukwaa
wakati taifa likiwa katika harakati za kupambana na mabepari ili kunusuru rasilimali za nchi makamanda tuliowaamini muda mrefu tukawatanguliza ili waongoze vita Leo wameungana na kushirikiana na adui wakitanguliza maslahi ya kisiasa na maslahi binafsi Kama ni hivyo Hawa ni sawa na kamanda anayeuza ramani vita kwa adui usalama WA nchi yake unakuwa mashakani na akigundulika huyo ndo anakuwa Adui NAMBA MOJA wa nchi na Huyo ndo MSALITI
(SHAME ON THEM)
Kwn kuuza ramani sio kusema ukweli??? Unapoelekeza maaskali wa nchi yako walipojificha,ukatoa pia na aina ya siraha walizo nazo,harafu unajiita mzalendo,na wajinga wenzio nao wanakupigia makofi,MALIPO YAKO WEWE NI KUPIGWA RISASI HADHARANI.Kauza ramani ipi sasa !! si kasema ukweli wa mambo