Kama wewe ni graduate soma hii

Kama wewe ni graduate soma hii

sawa bigmukulu wengi tupo Dar, Me nafikir issue hapo ni kupeana mpango mkakati kip kianze na kwa taratibu zip. infact tunatakiwa tufahamu abcd za hiyo Ngo. Ili hata unaenda USAID unajua unaeleza nini kuhusu hiyo NGO ili kupata huo mwongozo.
 
Kila la heri, ila inabidi mpigane sana maana hizo hela za USAID huwa hazitoki kienyeji. Halafu kingine jitahidi hata kama mnapata roho ya kifisadi angalau 70% ya hiyo hela ifanye kazi iliyokusudiwa.
 
Inabidi muwe serious hasa kwenye kueleza hiyo project yenu maana USAID siku hizi hawatoi pesa kihuni eti kwa vile mna project za ukimwi,nna uzoefu wa kutosha kwenye hili mkiboronga hawasiti kusimamisha misaada sisi tuko phase ya mwisho inaishia oktoba tulikua kwenye udhamini wa USAID ila tulipita kwenye kivuli cha Muhimbili kwa miaka 3 tumepitia changamoto nyingi,najua wengi mna uchu wa kupiga sarafu za mzungu ila amini kua siku hizi wana macho nao.
 
Kila la heri, ila inabidi mpigane sana maana hizo hela za USAID huwa hazitoki kienyeji. Halafu kingine jitahidi hata kama mnapata roho ya kifisadi angalau 70% ya hiyo hela ifanye kazi iliyokusudiwa.

umemaliza mkuu! hela hazitoki kirahisi
 
msije kutapeliana tu jamani, hizi NGOs huwa zina matatizo sana, mnapokutana wengi hlf wote mna level sawa za elimu mara nyingi huwa inaleta tatizo....... PESA NI SHETANI.... msipokuwa makini mnaweza kurogana wenyewe kwa wenyewe.... best wishes ila kuweni makini.... don't trust someone too much kumbuka mmekutana kwenye social network
 
tuwasiliane mkuu , hata mimi nimefungua microfinance lakini nimekosa mtaji ,kahisekijana@gmail.com
 
Back
Top Bottom