Kama wewe ni graduate soma hii

Kama wewe ni graduate soma hii

ok,lets pray to God,tukiwa serious tutafanikiwa mkuu
Wazo lako ni zuri,
 
Sawa wazo zuri. Naomba na mimi niwe mmojawapo. Nimesoma sosholojia. Tuungane sote kujikwamua jamani
 
Nami pia nipo tayari mkuu... hii mambo ya public health ni sehemu ya field yangu.
 
HAYA ILIMUONEKANE MKO SERIOUS INABIDI MUWE NA WEBSITE, TopgcsTech web Solution tunatengeneza kwa Tshs 130,000/= tu (laki moja na thelatini) hawa tayari tumeshawatengenezea www.curevision.org wapo Morogoro na huyu tunaendelea na ujenzi www.africanyouthtz.org. Kwa maelezo zaidi tutembelee TopgcsTech web Solution, CALL US 0788450136 AU
0712450136 YOU ARE WELCOME

Mimi nina NGO inahusu mambo ya afya, mnaonaje tuungane halafu tuombe ruzuku USAID au Global Fund ili kukabiliana na changamoto mbalimbali.
 
Na Mimi Niko Na Nyie Please, Nimesoma Education Lakn Ualimu Noma, Bora Kujiajili
 
nimerudi tena wanajamvi.sasa ni hivi kama kuna mtu yoyote yupo dar aende kwenye ofisi za usaid na kupewa mwongozo kidogo
 
inabidi tuandike mradi unaohusu kuzuia maambukizi ya ukimwi kwa mabaamedi kwa kutoa elimu ya ukimwi na kuwapatia kondomu
 
mni-PM niwape miongozo hela kama hizo kuzipata kuna taratibu zake, sio kirahisirahisi kisa unajua kuandika proposal.
 
Count me in please


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
Back
Top Bottom