joanah kwani mbinu za ubabe huwa zinaanzia wapi, aliyekut*ngoza kwa mara ya kwanza alianzia wapi au ilitokea tu mkakutana mkafahamiana basi alianzaje hapo ndio kuna utofauti watu hawalingani
Yeye alikuwa ananiona kila siku ...ilikuwa rahisi kwake
joanah kwani mbinu za ubabe huwa zinaanzia wapi, aliyekut*ngoza kwa mara ya kwanza alianzia wapi au ilitokea tu mkakutana mkafahamiana basi alianzaje hapo ndio kuna utofauti watu hawalingani
Umeona Ufisi wanguWoiiii kwa nini?
Yeye alikuwa ananiona kila siku ...ilikuwa rahisi kwake
joanah kukuona kunatumika ubabe, unaambiwa uje mlimani city kama uko dar kuna zawadi yako ukachukue popote pale au nakuita kwa njia yoyote ile kwa kutumia ubabe wa kubembeleza au vyvyote vile au naweza nikashindwa yote sawa tu
Kwani F ndo mwisho mkuu au list itaendelea kwa maana mmmmhHalafu dada zetu hawachagui namba zao ili tuwajue wakoje
Efratha255 Kuna namba ambayo unaijua ila haiko hapo, kwa leo tupo kwenye namba hizo hapo. ahtuwezi kuweka flat screen hapo ipo kwenye group lingine ambalo tutaliweka wiki ijayoKwani F ndo mwisho mkuu au list itaendelea kwa maana mmmmh
Naujuaga mbona[emoji52][emoji52][emoji52]Umeona Ufisi wangu
Hahah jamaniNaujuaga mbona[emoji52][emoji52][emoji52]
NdiooHahah jamani
😂😂 Sawa nitakutafuta mimi mwenyeweNdioo
Nimekumiss btw ila sikutafuti.[emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Baada ya wiki moja au mwezi[emoji23][emoji23] Sawa nitakutafuta mimi mwenyewe
Masaa kadhaa tuBaada ya wiki moja au mwezi
Soma achana na hizi namba.Kwani F ndo mwisho mkuu au list itaendelea kwa maana mmmmh
Nisome nn??Soma achana na hizi namba.
Zarau hizo!!!!.. yaani tuchague chura?
Anachagua mwanaume au ke. ke akichagua maana yake anajitambulisha kama vile kutueleza alivyo. sio dharauZarau hizo!!!!.. yaani tuchague chura?