S Smusher Member Apr 20, 2014 29 0 Jun 1, 2014 Thread starter #2 Hivi namna gani wasanii wachanga tunaweza skika maana ngoma inapeleka radio station lakini siskiki hebu mwenye wazo hapa afunguke
Hivi namna gani wasanii wachanga tunaweza skika maana ngoma inapeleka radio station lakini siskiki hebu mwenye wazo hapa afunguke
S shareef95nes Senior Member Jan 16, 2013 108 16 Jun 1, 2014 #3 Nenda kanisani ukaubiri wanawakondoo watakuskia hapo utakuwa umetimiza azma yako yakuskika
S Smusher Member Apr 20, 2014 29 0 Jun 1, 2014 Thread starter #4 hahaha kuhubiri poa lakini nataka kufanya mziki bwana