luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,023
- 21,268
Ishi maisha yako usifatilie upuuzi wa bunge maisha yatakuwa kawaida kwako. Eti kisa tulia mwanamke ndo apewe uspika? Siku zote bunge linaendeshwa kwa kupewa maelekezo cha kufanya. Ila bora ya ndugai.
Waafrika hatuna tabia za kuwajibika pale tunapokosea, sasa jiulize ilikuwaje ndugai akajihuzuru? Alikwepa fedhea maana wale watu walotumwa wamfosi aachie ngazi ni maelekezo kutoka juu.
Utamfanya nini mwenye madaraka yake? Ana kauli za ajabu sana, bora angekuwa anabaki nazo moyoni.
Mtu anasema mchana kweupe eti fulani asigombee afu anajiita mwana demokrasia kha!
Eti anawaambia wananchi, nani kasema sitogombea? Mapema hivi ashawaza kugombea tena?
Mnavyomsifia sasa bure kabisa. Hii katiba mbovu kweli.
Miaka 7 ilopita nilisoma hii katiba nikasemba mbona ya kipuuzi sana? Sikujali coz niliona inaendana na akili za kiafrika.
Juzi tu ndo niliona katiba hii ni ya ajabu sana. Yaani mtu analala usingizi kuamka asubuhi katiba inamuita amka njoo ukae hapo ki laini laina anza kushusha order kha.
Waafrika hatuna tabia za kuwajibika pale tunapokosea, sasa jiulize ilikuwaje ndugai akajihuzuru? Alikwepa fedhea maana wale watu walotumwa wamfosi aachie ngazi ni maelekezo kutoka juu.
Utamfanya nini mwenye madaraka yake? Ana kauli za ajabu sana, bora angekuwa anabaki nazo moyoni.
Mtu anasema mchana kweupe eti fulani asigombee afu anajiita mwana demokrasia kha!
Eti anawaambia wananchi, nani kasema sitogombea? Mapema hivi ashawaza kugombea tena?
Mnavyomsifia sasa bure kabisa. Hii katiba mbovu kweli.
Miaka 7 ilopita nilisoma hii katiba nikasemba mbona ya kipuuzi sana? Sikujali coz niliona inaendana na akili za kiafrika.
Juzi tu ndo niliona katiba hii ni ya ajabu sana. Yaani mtu analala usingizi kuamka asubuhi katiba inamuita amka njoo ukae hapo ki laini laina anza kushusha order kha.