Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Tema mate chini,una maana gani kusema CCM ni roho ya wananchi?Kwahiyo CCM ikifa na wananchi wamekufa?Shwain!Kwani kampeni zimeanza? Kila siku bunge dhaifu ila mmeshindwa kufikia huko. Tuheshimu waliotutangulia na wenye nacho. Kwa lugha nyepesi upinzani uheshimu CCM maana ndio wanaowapa tonge na CCM hao hao ndio roho ya wananchi
Wananchi walikuwepo kabla ya CCM na watakuwepo tu bila hata ya uwepo wa CCM!