marcus dedsec
JF-Expert Member
- Nov 29, 2017
- 944
- 981
- Thread starter
- #21
Toka mwezi wa tisa broAnza kupost itakuja tu baada ya muda
Toka mwezi wa tisa broAnza kupost itakuja tu baada ya muda
Mara nyingi ni 3-4 days hiyo too muchToka mwezi wa tisa bro
weka URL NiicheckNdio mkuu
Princedealz.blogspot.comweka URL Niicheck
Ni mara moja tu kama umefanya step upMara nyingi ni 3-4 days hiyo too much
Ingia kwenye blog yako.Princedealz.blogspot.com
Inakataa authorisationIngia kwenye blog yako.
Then nenda sehemu ya setting, utaona kuna domain name yako princedealz.blogspot.com
Then set to custom domain.
Oya naomba nikuchekKuna jinsi ya kusajili website kwenye search engines, jaribu kugoogle, au baadae nikitulia nitakupa maelekezo.
Na ni bure