Kama upo ARUSHA hii inakuhusu

Kama upo ARUSHA hii inakuhusu

Spear_

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2010
Posts
1,734
Reaction score
1,011
Nimetoka kuongea na Customer care Tanesco (kwa simu namba 0732 979280) kuhusu mgao mpya wa umeme cha kusikitisha jamaa anaongea huku akicheka kuwa sehemu kubwa ya Arusha haitakuwa na umeme kabisa mchana kwa majuma kadhaa..(sishangai kwani sakina kuanznia j'pili hatuna umeme) nilipomuuuliza mpaka lini akasema Mungu ndo anajua....sasa najiuliza hilo jibu maana yake ni nini wakati rais ni juzi ameingiza kampuni ya Kimarekani kuzalisha umeme....au ile kampuni ni kanyaboya wahusika wanaendelea na ishu nyingine? Jamani tutaishije tunaochomelea....wafugaji wa kuku...wauza samaki wabichi.....internet cafe......saloon sawmill mashine za kusaga.....hii mbona ni kama kukomoana?
 
Jana kwetu Ngurero umerudi asubuhi saa 12. baada ya kukatika kwa siku mbili. TANESCO ni bora ibinafsishwe tu ni kwero sana halafu hawa wafanyakazi wake wana dharau sana.
 
Nipo hapa golden rose kwa warsha umeme ni kero inabidi kutumia generator kelele mtindo mmoja:majani7:
 
Tanesco Arusha sasa mnaharibu na
kuua uchumi wa watu maana sasa mmegeuka
wanasiasa na sio wafanyabiashara umeme
Haukatiki kwa sababu kuna hitlafu mahali
ni siasa za kipumbavu tu natoa wito kwa Wana Arusha wote tuamke sasa tudai haki zetu hata kwa maandamano umeme
ni haki yetu sote kwanini baadhi ya maeneo haukatiki uzunguni line za jeshi na ikulu ndogo viwanda vya waasia hawakati watanzania wanateseka kwenye nchi Yao wenyewe kuna siku Arusha itaamka na kusema basi.
 
Nimetoka kuongea na Customer care Tanesco (kwa simu namba 0732 979280) kuhusu mgao mpya wa umeme cha kusikitisha jamaa anaongea huku akicheka kuwa sehemu kubwa ya Arusha haitakuwa na umeme kabisa mchana kwa majuma kadhaa..(sishangai kwani sakina kuanznia j'pili hatuna umeme) nilipomuuuliza mpaka lini akasema Mungu ndo anajua....sasa najiuliza hilo jibu maana yake ni nini wakati rais ni juzi ameingiza kampuni ya Kimarekani kuzalisha umeme....au ile kampuni ni kanyaboya wahusika wanaendelea na ishu nyingine? Jamani tutaishije tunaochomelea....wafugaji wa kuku...wauza samaki wabichi.....internet cafe......saloon sawmill mashine za kusaga.....hii mbona ni kama kukomoana?

Tutamkumbuka EL
 
HTML:
wanasema kisa ni Arusha kuchagua Chadema.Tunakomolewa.

Sasa kama hoja ni hiyo, vipi Tengeru Usa mpaka Kikatiti nao walimchagua Lema?

Hivi hakuna sheria ya kuwadai fidia Tanesco kwa kosa la kuzima umeme makusudi?
 
wanasema kisa ni Arusha kuchagua Chadema.Tunakomolewa.

sasa kwa mawazo yao wakitunyima umeme ndo tutarudi ccm?.... naombeni namba ya mbunge wetu nimuukize kama anataarifa za hujuma hii...
 
Sasa kama hoja ni hiyo, vipi Tengeru Usa mpaka Kikatiti nao walimchagua Lema?

Hivi hakuna sheria ya kuwadai fidia Tanesco kwa kosa la kuzima umeme makusudi?
angalau wange toa taarifa basi tujue kutakuwa na mgao mpaka lini...
 
Ndg zangu hakika umeme ni kero hasa huku kwe2 lain ya Sakina tangu cjui ni lini hakuna wakati 2mepata masaa 10 mfululizo umeme. Yani hawa jamaa wa Tanesco wana madharau ya hasara. Yani wana2ladhimisha kwenda kununua jenereta ya kichina sasa. Kweli umeme ni kero haswa lain ye2 ya Sakina.
 
Ndg zangu hakika umeme ni kero hasa huku kwe2 lain ya Sakina tangu cjui ni lini hakuna wakati 2mepata masaa 10 mfululizo umeme. Yani hawa jamaa wa Tanesco wana madharau ya hasara. Yani wana2ladhimisha kwenda kununua jenereta ya kichina sasa. Kweli umeme ni kero haswa lain ye2 ya Sakina.

Mkuu hiyo generator mafuta utaweka ya sh.ngapi na kazi inaingiza sh.ngapi...... mafuta ndi hayo 2100 per lt sasa si utakuwa unawafanyia wauza mafuta kazi....
 
Tanesco Arusha sasa mnaharibu na
kuua uchumi wa watu maana sasa mmegeuka
wanasiasa na sio wafanyabiashara umeme
Haukatiki kwa sababu kuna hitlafu mahali
ni siasa za kipumbavu tu natoa wito kwa Wana Arusha wote tuamke sasa tudai haki zetu hata kwa maandamano umeme
ni haki yetu sote kwanini baadhi ya maeneo haukatiki uzunguni line za jeshi na ikulu ndogo viwanda vya waasia hawakati watanzania wanateseka kwenye nchi Yao wenyewe kuna siku Arusha itaamka na kusema basi.


Kwa ufupi tunaomba wajitolee watu kama siyo Mh. G.Lema basi madiwani wetu ili wawatangazie wakazi wa maeneo yaliyoathirika kwa gari la matangazo ili woote twende pale Ofisi za TANESCO Mkoa tushinde hapo siku nzima tukiimba nyimbo za Ukombozi hadi pale tatizo la umeme litakapopatiwa ufumbuzi. Tunapoteza hata kile tulichokuwa tumetafuta na hiini kuongeza umaskini kwa kiwango ambacho hakijawahi onekana. wauza vinywaj baridi, wauza samaki , wafuga kuku, watu wa grills, saloon, saw mills na mashine za kusaga na kukoboa hawana mapato kabisa. Vijana waliojiajiri kurekodi nyimbo wanaocharge betri, mafundi electronics, mafundi nguo, wajaza upepo wa magari, carwash zoote hizi zinakufa na watu wanakosa ajira. Kitendo cha customer care kufanya mzaha kwa tatizo la umeme ni kudharau wananchi na inabidi tukapige kambi pale na wasitoke hata mmoja humo ndani na ikibidi wafundishwe adabu mpaka hapo watakapojua wanatakiwa watoe majibu na si ushuzi.
 
Nimetoka kuongea na Customer care Tanesco (kwa simu namba 0732 979280) kuhusu mgao mpya wa umeme cha kusikitisha jamaa anaongea huku akicheka kuwa sehemu kubwa ya Arusha haitakuwa na umeme kabisa mchana kwa majuma kadhaa..(sishangai kwani sakina kuanznia j'pili hatuna umeme) nilipomuuuliza mpaka lini akasema Mungu ndo anajua....sasa najiuliza hilo jibu maana yake ni nini wakati rais ni juzi ameingiza kampuni ya Kimarekani kuzalisha umeme....au ile kampuni ni kanyaboya wahusika wanaendelea na ishu nyingine? Jamani tutaishije tunaochomelea....wafugaji wa kuku...wauza samaki wabichi.....internet cafe......saloon sawmill mashine za kusaga.....hii mbona ni kama kukomoana?

Yaani imekuwa kero hii issue ya umeme hapa Arusha maana huku tunakoishi unakatika kuanzia saa kumi na mbili jioni mpaka kesho yake saa mbili asubuhi kwa maana usiku kucha hatuna umeme. Na hii imeanza toka wiki kama mbili zilizopita na hakuna taarifa wala nini
 
Nimetoka kuongea na Customer care Tanesco (kwa simu namba 0732 979280) kuhusu mgao mpya wa umeme cha kusikitisha jamaa anaongea huku akicheka kuwa sehemu kubwa ya Arusha haitakuwa na umeme kabisa mchana kwa majuma kadhaa..(sishangai kwani sakina kuanznia j'pili hatuna umeme) nilipomuuuliza mpaka lini akasema Mungu ndo anajua....sasa najiuliza hilo jibu maana yake ni nini wakati rais ni juzi ameingiza kampuni ya Kimarekani kuzalisha umeme....au ile kampuni ni kanyaboya wahusika wanaendelea na ishu nyingine? Jamani tutaishije tunaochomelea....wafugaji wa kuku...wauza samaki wabichi.....internet cafe......saloon sawmill mashine za kusaga.....hii mbona ni kama kukomoana?
Kwa sasa mlie tu maana hamna kiongozi anayeweza kuwatetea, kipindi cha nyuma Mzee mzima angeshawapigia simu maana hakuwa anataka ishu za kijinga, lazima angemuita meneja Dodoma aeleze mgao unatokana na nini?
 
Mkuu hiyo generator mafuta utaweka ya sh.ngapi na kazi inaingiza sh.ngapi...... mafuta ndi hayo 2100 per lt sasa si utakuwa unawafanyia wauza mafuta kazi....

Ni kweli Jenereta inakula mafuta sana na ukiweka mafuta ya elfu 10 utaweka kila siku na ukijua kabisa lita ya petroli ni ghali sana. Ndugu zanguni magari yetu tunaendesha tu pale ambapo ni muhimu kufanya hivyo kwani mafuta ni ghali halafu tena umeme ndio huo unatuletea kichefuchefu.

Tutangaziane twende kwa amani pale TANESCO na wakiona shughuli zimesimama basi akili zinaweza kuwajia na kutoa majibu yenye akili.
 
Nadhani sasa hivi vibaka wa Arusha wataneemeka sana kipindi hiki.Sipati picha hapo Unga ltd na giza totoro jinsi panavyochimbika! Ngoja niwasiliane na Mganga mkuu wa Mt.Meru waongeze idadi ya nyuzi za kushonea majeraha maana vibaka wa Arusha bila kumwaga damu bado hawajakuibia.
 
Nadhani sasa hivi vibaka wa Arusha wataneemeka sana kipindi hiki.Sipati picha hapo Unga ltd na giza totoro jinsi panavyochimbika! Ngoja niwasiliane na Mganga mkuu wa Mt.Meru waongeze idadi ya nyuzi za kushonea majeraha maana vibaka wa Arusha bila kumwaga damu bado hawajakuibia.

Mkuu hii ni kweli kabisa kwa sasa vibaka ni wengi mbaya maana wanakata umeme usiku
 
Sakina ndo targeted area,..na hasa kuanzia maeneo ya tecnical kuja huku juu,...nafikiri wanafanya makusudi ingawa sijui lengo ni nini hasa,hili tatizo halijaanza juzi ni muda kitambo kwa sisi tunaoishi huku maeneo ya technical.
 
Back
Top Bottom