Kama unataka mshauri wa saikolojia

Kama unataka mshauri wa saikolojia

3500

Member
Joined
Jul 20, 2014
Posts
74
Reaction score
130
Habari ya mchana

Kuna jamaa amenisaidia sana kwa ushauri uliobadilisha maisha yangu baada ya kutengana na mke wangu miaka kadhaa iliyopita na kupata weweseko kidogo. Nimeona nishee maelezo haya ili kama Kuna mtu anayepitia mateso ya kisaikolojia basi aweze PATA nafuu. Sina maslahi na huyu mtu ni kwamba tu nilikuwa napitia kipindi kigunu na alanisaidia. Bae yake ni sh 10000 ukikaa nae kwa saa Ni pm nikutumie namba yake. Asanteni
 
Mahusiano yanaweza kukuvuruga Kama hautakuwa makini. Hawa wanawake wanaoweza kukuvuruga kweli kweli
 
10k kwa saa ni affordable. Nilimpata mmoja Masaki alikua 25 kwa saa, hafu minimum ni 2hrs kwa session. Kwahiyo lazima uwe na 50k kwenda juu.
 
Habari ya mchana

Kuna jamaa amenisaidia sana kwa ushauri uliobadilisha maisha yangu baada ya kutengana na mke wangu miaka kadhaa iliyopita na kupata weweseko kidogo. Nimeona nishee maelezo haya ili kama Kuna mtu anayepitia mateso ya kisaikolojia basi aweze PATA nafuu. Sina maslahi na huyu mtu ni kwamba tu nilikuwa napitia kipindi kigunu na alanisaidia. Bae yake ni sh 10000 ukikaa nae kwa saa Ni pm nikutumie namba yake. Asanteni
Weka namba mkuu
 
Sina maslahi na huyu mtu ni kwamba tu nilikuwa napitia kipindi kigunu na alanisaidia. Bae yake ni sh 10000 ukikaa nae kwa saa Ni pm nikutumie namba yake. Asanteni,,##HapaNdioUlipoKosea##
Bae❌
Bei☑️,,
Kigunu❌
Kigumu☑️,,,Alanisaidia❌
Alinisaidia☑️,,Una Maweweseko Hadi Kuandika Inaonekana Hujazoea Mambo Ya Utapeli.
 
Yamenikuta mengi mkuu wangu.
Hapa kwenye kulipa Pesa ili nishauriwe, nawaza ni ushauri gani atanipa ambao siujui?
Ahahahah..basi we mkongwe mwenzangu umefuzu. Tofauti na hawa wadogo zetu siku hizi walain laini sasa inabid uende nao kwa upendo.
Sisi wakat tunakua mppaka sasa wengime hatujawah kukubalianaga na magonjwa haya leo ya kijinga jinga toka magharib ,wenyewe wameyapa majina mazuri mfano Anxiety!! What a bullshit is that?? Ila ndio sasa vijana wamelemaa nayo!! 😂😂😂
 
Habari ya mchana

Kuna jamaa amenisaidia sana kwa ushauri uliobadilisha maisha yangu baada ya kutengana na mke wangu miaka kadhaa iliyopita na kupata weweseko kidogo. Nimeona nishee maelezo haya ili kama Kuna mtu anayepitia mateso ya kisaikolojia basi aweze PATA nafuu. Sina maslahi na huyu mtu ni kwamba tu nilikuwa napitia kipindi kigunu na alanisaidia. Bae yake ni sh 10000 ukikaa nae kwa saa Ni pm nikutumie namba yake. Asanteni
Sio wewe mwenyewe kweli😉😉

Hebu weka picha yake na yako tuweze kutofautisha
 
Sina maslahi na huyu mtu ni kwamba tu nilikuwa napitia kipindi kigunu na alanisaidia. Bae yake ni sh 10000 ukikaa nae kwa saa Ni pm nikutumie namba yake. Asanteni,,##HapaNdioUlipoKosea##
Bae❌
Bei☑️,,
Kigunu❌
Kigumu☑️,,,Alanisaidia❌
Alinisaidia☑️,,Una Maweweseko Hadi Kuandika Inaonekana Hujazoea Mambo Ya Utapeli.
Msamehe, yaweza ndio ikawa mara yake ya kwanza kutaka kuta.....
 
Jifunzeni kwa LUTU jamani. Hakugeuka mke wake alipogeuka. Mnadhan ni kisa cha kujifurahisha? Move on, maisha ni matamu bila huyo mkeo aliekuacha.
 
Kwa dunia ya sasa badala ya kwenda VETA, bora usome saikolojia, maana client ni wengi
Mfumo wa maisha na wa kiuchumi soko huria unaweka preshà kubwa kwenye maisha ya watz ndio maana vichwa vya watz vimebeba misongo mingi hasa inayohusiana na pesa na mahusiano. Watz hawana amani ya moyoni
 
Back
Top Bottom