Habari ya mchana
Kuna jamaa amenisaidia sana kwa ushauri uliobadilisha maisha yangu baada ya kutengana na mke wangu miaka kadhaa iliyopita na kupata weweseko kidogo. Nimeona nishee maelezo haya ili kama Kuna mtu anayepitia mateso ya kisaikolojia basi aweze PATA nafuu. Sina maslahi na huyu mtu ni kwamba tu nilikuwa napitia kipindi kigunu na alanisaidia. Bae yake ni sh 10000 ukikaa nae kwa saa Ni pm nikutumie namba yake. Asanteni
Kuna jamaa amenisaidia sana kwa ushauri uliobadilisha maisha yangu baada ya kutengana na mke wangu miaka kadhaa iliyopita na kupata weweseko kidogo. Nimeona nishee maelezo haya ili kama Kuna mtu anayepitia mateso ya kisaikolojia basi aweze PATA nafuu. Sina maslahi na huyu mtu ni kwamba tu nilikuwa napitia kipindi kigunu na alanisaidia. Bae yake ni sh 10000 ukikaa nae kwa saa Ni pm nikutumie namba yake. Asanteni