vipi unaonaje mwili ulivyokuwa mwepese na kupunguaKuna siku Janab nilikuelewa sana. Alisema hiv ile chai ile ile kunywa saa sita, na kula mlo wa jioni saa 12.
Sasa nimegundua saa 5 mpk saa 6 nikitembea kidogo natoka jasho la kufa mtu.
Sasa nikiwa home ndiyo najizungusha majasho km mvua.
Alisema muda huo mwili unatafuta reserve ya mafuta kwenye mwili.
Nina km mwezi nafanya hivyo.
Kwa sasa siwezi kukujibu ntakutafuta baada ya mwezi dear nikupe mrejesho ok.vipi unaonaje mwili ulivyokuwa mwepese na kupungua
Niskip breakfast Mnataka kuniua???😁??
natumain mrejesho utakuwa mzuri dearKwa sasa siwezi kukujibu ntakutafuta baada ya mwezi dear nikupe mrejesho ok.
hukufi mpendwa utazoea na itaona kawaida au kama unashindwa tengeneza chai ya viungo kunywa usiweke sukari basi inatoshaNiskip breakfast Mnataka kuniua???😁??
mwili wako si jalala
Niombee nishinde hii assignment mimi uwiiiuuunatumain mrejesho utakuwa mzuri dear
utashinda kwa uwezo wa mungu kikubwa ni kuacha tamaa ya vitamuNiombee nishinde hii assignment mimi uwiiiuuu
Amiiin Rabin Amiiin.utashinda kwa uwezo wa mungu kikubwa ni kuacha tamaa ya vitamu