Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 33,670
- 97,413
Asa unakula nn?Skip breakfast mchana kula kwa kiasi tena mchemsho mpaka kesho mchana tena
Achana na sukari mafuta pombe na vyakula vya kukaanga, yote kwa yote fasting ndio mpango mzima
Asa unakula nn?Skip breakfast mchana kula kwa kiasi tena mchemsho mpaka kesho mchana tena
Achana na sukari mafuta pombe na vyakula vya kukaanga, yote kwa yote fasting ndio mpango mzima
michemshoAsa unakula nn?
Wala sijapuyanga; nimenena vyema.khaaaaa umeanza vizuri chini umepuyanga
Ni kweli kabisa ,mazoezi hayasaidii kupunguza mwili kama hauna nidhamu kwenye msosi.Skip breakfast mchana kula kwa kiasi tena mchemsho mpaka kesho mchana tena
Achana na sukari mafuta pombe na vyakula vya kukaanga, yote kwa yote fasting ndio mpango mzima
Ni kweli ,wanaopambana kitaani na shughuli ngumu siyo wanene na wala hawahitaji kupungua ,shughuli zao tu hawapati mwili.hakika ila hapo inawahusu sana sana wale wanaokaa maofisin hawashughulishi mwili
Mazoezi ni kuimarisha tu mwili mkuu,siyo kupungua...ndo maana kwa mtu anaye fanya Fasting hupungua vizuri kwa muda mfupi. Unaweza fanya mazoezi miezi sita ukakuta umeongezeka badala ya kupungua ama umepunguza kilo moja kwa miezi 6.Ni kweli kabisa ,mazoezi hayasaidii kupunguza mwili kama hauna nidhamu kwenye msosi.
Kupungua ni 70% Msosi +30 % Mazoezi.
Ukitaka kupungua inabidi ukate 70% ya msosi.
Nakubaliana na wewe ,ukitaka kupungua ni msosi ila wasiyo na uelewa ndiyo wanajua mazoezi yanapunguza mwili ,mazoezi yana faida nyingine kabisa na ni muhimu.Mazoezi ni kuimarisha tu mwili mkuu,siyo kupungua...ndo maana kwa mtu anaye fanya Fasting hupungua vizuri kwa muda mfupi. Unaweza fanya mazoezi miezi sita ukakuta umeongezeka badala ya kupungua ama umepunguza kilo moja kwa miezi 6.
Fasting hasa ya masaa 72,kila wiki mara moja unakuta umeondoa kg 4
jaman jitahidi kipenziNimeweza kuacha kula matakataka yote imenisaidia kupungua kiasi.
Hapo kwenye pombe ndio mtihani
kila laheri na nyeto yako misuli ikilegea usije kulia lia hapaWala sijapuyanga; nimenena vyema.
tumbo lako sio jalalaView attachment 3578933Acha hizo wewe!
sijui kama naweza maana ndio starehe pekee niliyobaki nayo. Lakini sinywi kila siku na sinywi kupitiliza.jaman jitahidi kipenzi
Nitakufungulia kesi ya jinai, Onhoo!!tumbo lako sio jalala
kisa unasubiria nin usianze sasaNitakufungulia kesi ya jinai, Onhoo!!
Sahihi mkuu..mazoezi yana faida tofauti kabisa mwiini ikiwemo kuimarisha Blood pressure...lakini hayapunguzi mwili.Nakubaliana na wewe ,ukitaka kupungua ni msosi ila wasiyo na uelewa ndiyo wanajua mazoezi yanapunguza mwili ,mazoezi yana faida nyingine kabisa na ni muhimu.
Niacheni na nyeto yangu wakuu.kila laheri na nyeto yako misuli ikilegea usije kulia lia hapa
matumbo yetu sio jalalaVijana kuleni bana