Kama unataka kuolewa hii inakuhusu

Kama unataka kuolewa hii inakuhusu

Haya maisha yaacheni tuu.

Mtu hana mvuto
hana elimu
hana ajira
hana kazi
hana tabia njema
hana akili

Anachoringia ni papuchi. Alafu anategemea kuolewa.
Alafu unakuta wapiga mizinga hatareeee,, kila saa naomba, naomba haziishi,,, ukweli mwanamke wa hivi hata salam hapati
 
Alafu unakuta wapiga mizinga hatareeee,, kila saa naomba, naomba haziishi,,, ukweli mwanamke wa hivi hata salam hapati
Kweri hata wanaume wa hivi hapati salamu kwetu.
Maisha ya sasa yapo hivi.
1.mwanaume awe anajali na mwanamke awe anajali mf.
Mwanaume afanye vitu vikubwa amuonyeshe mwanamke yeye ni mwanaume.
Mwanamke amsaidie mwanaume mahitaji madogo.
Mwanaume ajitume zaidi kuliko mwanamke ajitume kiasi.
Sio wewe uone unafuu wa kumpata mke ni yeye aone unafuu wa kukupata wewe.
Asilimia kubwa kama hujaolewa usimtegemee mwanaume kwa kila kitu atakuchoka mapema.
Jaribu kumwomba vitu kwa kiasi .
Mwanaume aambiwe vitu kwa kipimo sio kila kitu labda vingine ajitolee.
 
Kweri hata wanaume wa hivi hapati salamu kwetu.
Maisha ya sasa yapo hivi.
1.mwanaume awe anajali na mwanamke awe anajali mf.
Mwanaume afanye vitu vikubwa amuonyeshe mwanamke yeye ni mwanaume.
Mwanamke amsaidie mwanaume mahitaji madogo.
Mwanaume ajitume zaidi kuliko mwanamke ajitume kiasi.
Sio wewe uone unafuu wa kumpata mke ni yeye aone unafuu wa kukupata wewe.
Asilimia kubwa kama hujaolewa usimtegemee mwanaume kwa kila kitu atakuchoka mapema.
Jaribu kumwomba vitu kwa kiasi .
Mwanaume aambiwe vitu kwa kipimo sio kila kitu labda vingine ajitolee.
Katoto kidogo unajielewa wewe, ufunde na wenzako jamani wanaboa kweli,, mwanamke mwenye akili ya maisha hawezi kuomba omba vitu vidogodogo kama vile vivocha nk,, wanaume tunapenda wanawake Wenye futures bhanaaa,
 
Mistari miwili ya mwisho imekamilisha kila kitu, ahsante mpenzi wangu sikuwa na vyote hivo ila akanchagua katika wasomi aliokutana, akanchagua ktk wazuri wa wazuri wakati mwingine hata huwa namuuliza uko proud na mie ananjibu sana, nakupenda sana najua utasoma hapa nakupenda.
Nachoweza sema mapenzi ndoa hakunaga formula bwana, huchanua popote.
Hongera sana
 
Katoto kidogo unajielewa wewe, ufunde na wenzako jamani wanaboa kweli,, mwanamke mwenye akili ya maisha hawezi kuomba omba vitu vidogodogo kama vile vivocha nk,, wanaume tunapenda wanawake Wenye futures bhanaaa,
mpendwa najitambua sana.
 
Hilo LA kujipendekeza Na kuhonga mmmh. Mimi namtafuta mwanaume wangu kwa sababu naona Furaha kumtafuta sio kumjaza anipe ndoa. Kwahiyo ndoa ikishapatikana tunaacha kufanya hayo mashinikizo tunarudi kwenye uhalisia eeh?
 
Joka anamtazamo wake kabisa nasisi tunamitazamo yetu.
Kila mtu anaexperience katika maisha nainatofautiana
 
Mistari miwili ya mwisho imekamilisha kila kitu, ahsante mpenzi wangu sikuwa na vyote hivo ila akanchagua katika wasomi aliokutana, akanchagua ktk wazuri wa wazuri wakati mwingine hata huwa namuuliza uko proud na mie ananjibu sana, nakupenda sana najua utasoma hapa nakupenda.
Nachoweza sema mapenzi ndoa hakunaga formula bwana, huchanua popote.
Hongera mama.

Daktari wangu wa moyo ukipita hapa hayo maneno kaandika amu na Mimi nakupatia wewe huo ujumbe.
 
Hilo LA kujipendekeza Na kuhonga mmmh. Mimi namtafuta mwanaume wangu kwa sababu naona Furaha kumtafuta sio kumjaza anipe ndoa. Kwahiyo ndoa ikishapatikana tunaacha kufanya hayo mashinikizo tunarudi kwenye uhalisia eeh?
Siku za mwanzoni akikutuma umletee maji ya kunywa unapiga na magoti wakati unampa ila mkishazoeana unakuta unaitwa unajibu nakuja bana nilikua humo humo ndani hukuniagiza umengoja nitoke ndo uanze kupayuka
 
Siku za mwanzoni akikutuma umletee maji ya kunywa unapiga na magoti wakati unampa ila mkishazoeana unakuta unaitwa unajibu nakuja bana nilikua humo humo ndani hukuniagiza umengoja nitoke ndo uanze kupayuka
Si tumeambiwa hapa tukitaka ndoa tujipendekeze. Akiomba Maji napiga Na goti kabisa. Siku akinipa ndoa hata Maji simletei leave alone kupiga goti.
Kila ndoa Ina jinsi yake ya kuja. Hizi ndoa za kuigizia mwanaume anaeteseka baadae ni mwanaume kumbe alikua kwenye mtego.
 
olewa/oa na mtu anayekupa furaha,ukiwa nae una Amani,

uking'ang'ania vitu vingine vitapotea,

shepu ukizaa watoto wawili watatu shepu kwishney labda uwe mtu wa discipline,mazoezi kidogo

..kama ni pesa,mke/mume wako anaweza kupata redundancy au ugonjwa ukampata akashindwa kutimiza majukumu yake,utamwacha???...

Kama ni sex,we as humans tuna limited cycle ya reproduction period,je outside this period,uta cheat??

ndio maana ndoa nyingi hazina Amani,

sababu mli act kwenye uchumba,

in reality mmekuta mambo sio kama mlivyotarajia,

huwezi ku fake kwa mtu unayelala nae,unaamka nae

kuwa na mtu ambae uko CONFIDENT kuwa anakusikiliza,mna maelewano,akikuudhi anajua,ukimuudhi unajua

hapo mtasikilizana mpaka uzeeni,

wengi hawajui kitu muhimu ni MAWASILIANO,
 
Good analysis. Tatizo ni huwa pale unapoanzisha mahusiano wanakufanya baba mzazi. Yaan nauli,njaa,ada, vocha vyote ni juu yako
Kweri hata wanaume wa hivi hapati salamu kwetu.
Maisha ya sasa yapo hivi.
1.mwanaume awe anajali na mwanamke awe anajali mf.
Mwanaume afanye vitu vikubwa amuonyeshe mwanamke yeye ni mwanaume.
Mwanamke amsaidie mwanaume mahitaji madogo.
Mwanaume ajitume zaidi kuliko mwanamke ajitume kiasi.
Sio wewe uone unafuu wa kumpata mke ni yeye aone unafuu wa kukupata wewe.
Asilimia kubwa kama hujaolewa usimtegemee mwanaume kwa kila kitu atakuchoka mapema.
Jaribu kumwomba vitu kwa kiasi .
Mwanaume aambiwe vitu kwa kipimo sio kila kitu labda vingine ajitolee.
 
Back
Top Bottom