Ndugu wadau na watanzania wote kwa ujumla,napenda kuwatangazia kuwa mkombozi wa ajira sasa amekuja Tanzania.Kampuni mpya ya kutafuta kazi imeanzishwa hapa Dar-es-Salaam,inaitwa BA Recruitment Agency.Japo kutakuwa na gharama kiasi kwa ajili ya kuchangia huduma hii,napenda kuwahakikishia kuwa tuna uzoefu wa muda mrefu na tutajitahidi kukufikia na kukusaidia kwa wakati,Kazi tulizonazo kwa sasa ni kama ifuatavyo;
-Wahasibu
-Masoko
-Maafisa/Mameneja Utumishi
-Wanasheria
-Madereva
-Maafisa Uhusiano
-Masecretari
-Watafsiri
-Waalimu
Kazi hizi zipo hapa Dar-Es-Salaam na nyingine ziko nje ya Dar kama Morogoro,Arusha,Manyara na Mbeya.
Tafadhali wahi sasa tuma CV yako patakazi1981@gmail.com ,tutawasiliana na wewe mara moja kukujulisha gharama za huduma na taratibu nyingine.
AHSANTENI SANA NA KARIBUNI WOTE.
asante sana. Ila jamani ndugu zamgu wote mnaotafuta kazi ni muhimu kuwa makini na huko tunakotuma c.v. Wako watu wengine wanazihitaji kwa manufaa yao na si kukutafutia kazi. Haya ni maon yangu tu.