Sammo Hung
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 1,142
- 1,302
nyoka nimemuona ila bado sijaelewa kichwa kipo upande gani..
nahisi kimefunikwa na jani, tazama vizurinyoka nimemuona ila bado sijaelewa kichwa kipo upande gani..
Mkuu kama ningekuwa ninapita maeneo hayo nahisi ningemkanyaga..nahisi kimefunikwa na jani, tazama vizuri
Acha masihara, hata hiyo mimea yenye rangi ya kijani hujaiona!Dah! Uzee haujawahi kubakisha macho salama. Yaani sijaona kitu kabisaa.
Snake
Nyoka
Nyoka
Nyoka
Nyoka
Snake na majan
NIONESHENI VIZURINyoka kuanzia kwenye mkia had katikati ana mabaka ya kahawia
NIONESHENI VIZURI
muonesheNikikuonyesha hapa nitakuwa nimeharibu uzi mkuu
Mambo ya kuumizana macho huwa siyataki bora umenisaidia nimeona
NIONESHENI VIZURI