Hechinodemata JF-Expert Member Sep 16, 2016 1,467 3,228 Sep 15, 2017 #4 Ni kweli UK unions kweli wewe una macho( unaona vizur) tens koboko adder
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,991 69,385 Sep 15, 2017 #5 Fuvu sio fuvu, mifupa sio mifupa!!
Nyendeke JF-Expert Member Jul 21, 2013 1,552 2,844 Sep 15, 2017 #7 Majani yenye kijani kibichi, Majani yaliyonyauka, Kipande cha Mti kilichonyauka na Nyoka
Sopa de pollo JF-Expert Member Dec 1, 2016 461 417 Sep 15, 2017 #9 Joka, tena limetulia kama limejindunga
Rahabu JF-Expert Member Jan 21, 2014 5,525 3,316 Sep 15, 2017 #11 Nyoka na majani pamoja na miti mikavu
Jodoki Kalimilo JF-Expert Member Feb 12, 2012 12,013 10,170 Sep 15, 2017 #16 Watu mnahangaika kuumiza macho kwa kuangalia nyoka wakati kuna majanimabichi kidogo na majani makavu
bigest JF-Expert Member Jul 3, 2017 340 166 Sep 15, 2017 #20 Me sjaona kitu zaid ya majani ya makavu na mabichi. Mtoa uzi naomba nisaidie kuna nini hapo?