Kama una-upara na unakupa tabu pitia hapa.

Kama una-upara na unakupa tabu pitia hapa.

Ndugu zanguni nimeona niwaite kando ili tuweze kusaidiana na kuyajenga katika maswahibu haya ya upara.
Nawaletea product zifuatazo za mafuta:

1. INDULEKHA HAIR OIL
yanasifika kwa kusaidia kuimarisha na kurudisha nywele zinazokatika au zinazotakakupotea au zilizopotea jinsia zote kike na kiume inafanya kazi.
Mafuta haya yanapatikana katika ujazo wa ml 100 na kuendelea.

Kwa wale wote wenye interest unaweza ukaweka order yako hapa au uka ni pm.

BEI NI KAMA IFUATAVYO

1. Chupa moja ml 100 itauzwa kwa Tsh. 20,000
2. Chupa mbili zenye jumla ya ml 200 zitauzwa sh. 39000
3. Chupa tatu za jumla ml 300 zitauzwa kwa sh. 58,000.
Mafuta haya yamewasaidia wengi ..nafikiri hautasita kuyajaribu.

2. JAMAICA BLACK CASTOR OIL
Haya ni mafuta halisi ya nywele ambayo yanasifika pia kwa kusaidia ukuaji wa nywele (hair growth) na yanafaa pia kwa jinsia zote. Kama wewe ni muhangaikaji nafikiri umeshawi yasikia haya mafuta nje na ndani ya Jamii forum.

BEI

A. Chupa ya ml 70 inauzwa kwa sh. 20, 000.
View attachment 622319

B. Chupa ya ml 118 inauzwa kwa sh. 52,000
View attachment 622320
3. OLDE JAMAICA BLACK CASTOR OIL
Chupa ya ml 120 kwa sh. 85000
View attachment 622323

4. HERBAL HAIR OIL (KHADI)

View attachment 622407 View attachment 622408 View attachment 622409
Product Description
This oil from Khadi contains rosemary and henna, which go a long way in curbing hair fall. It also helps prevent premature hair loss, baldness, split ends, and breakage. This oil works best for preventing hair fall and promoting hair growth. It is ideal for both women and men and does not contain any mineral oils or parabens.

Pros
  • Light and non-sticky
  • Conditions hair and makes it manageable
  • Pleasant fragrance
  • Stops hair fall
Rating
4/5

Most Suitable For
All hair types

Price
210 mls Kwan Tsh. 15,000






Ni hayo tu.
Na wenye mvi je?
 
Kwa wale wanaotaka kuondoa mvi kichwani nakuletea options hizi tatu:
1. KHADI HAIR OIL
Khadi-Amla-Brahmi-Hair-Oil-520x336.jpg


This hair oil has all the essential ingredients that help to stop hair from graying further. Rich with the goodness of Brahmi, Amla and Almond oil, the hair oil is perfect for controlling gray hair. It also has Vite oil that is good for the hair as well.
Bei Tsh. 12,000 kwa 210 ml.

2. KESHIN THAILAM
Omved-Keshin-Hair-Oil-520x336.jpg


This natural and herbal hair oil suits every hair type. Its natural ingredients nourish the hair and make it soft. It prevents premature graying of hair, thus making the hair look beautiful. The hair oil is also effective in treating dandruff and hair thinning.
Bei Tsh. 40,000 Kwa 125 ml.

3. Dhathri Hair Herbal Oil

Dhathri-Hair-Herbal-Oil-520x336.jpg

This oil is very effective to stop the graying of hair. The main natural ingredient, Amla, helps to boost the color of hair by providing natural conditioning. It is totally natural and has no side effects on the hair. It can be applied on a daily basis.
Bei Tsh. 16,500 kwa chupa.
 
Kwa wale wenye interest, naomba mnapo ni inbox tafadhali naomba mniambie mnataka mafuta yapi na piece ngap na contact zako au jinsi ya kukufikia.
 
Wewe imekusaidia hiyo ya kipara? Na he unafanya delivery?
Wengi yamewasaidia... Unaweza pitia mtandaoni pia ukangalia reviews zake.. Then kuhusu delivery utafanyiwa Kwan gharama zako..
 
Aisee mimi kipara kinaniboa sana kwanza kimekuja nikiwa bado kinda kbs 28 yrs na kinakuja kwa kasi tena kimeanzia mbele kinatafuna kuja nyuma.me kinaninyima raha kbs maana kimekuja ktk wakati ambao bado sijapata uhakika wa mapene ya kutosha inshort naganga njaa.

Hivyo kwa garama yoyote lazima nikiondoshe couse nataka kusuka dredi
 
Upara sio ugonjwa hiyo ni ishara ya mtu kuwa na pesa au msomi ingawa vipo vipara vya aina mbali mbali mfano vipara vya kimasikini, hivi havina mngaro kabisa kisha vipo vya kitajiri;hivi wanavyo baadhi hasa mafisadi na wenye pesa nyingi vipara hivi vinamng'aro kama bati za Aluminium.kuna vipara vya wasomi hawa ndio ma-genius halafu vipo vipara vya wajinga jinga fulani utakuta nywele zimeota kwa mafungu. [HASHTAG]#TUSAMEHEANE[/HASHTAG] TU HAKUNA NAMNA
Ha ha ha ha ha kula tano ya nguvu
 
Aisee mimi kipara kinaniboa sana kwanza kimekuja nikiwa bado kinda kbs 28 yrs na kinakuja kwa kasi tena kimeanzia mbele kinatafuna kuja nyuma.me kinaninyima raha kbs maana kimekuja ktk wakati ambao bado sijapata uhakika wa mapene ya kutosha inshort naganga njaa.

Hivyo kwa garama yoyote lazima nikiondoshe couse nataka kusuka dredi
Umesomeka mkuu
 
So wakati sisi tunajaribu mafuta yako na wewe utakuwa unajaribu pesa zetu... tatizo wamelishindwa wazungu hili we mwenzetu unaamini utaliweza!!..
 
Mi sina ila dalili naziona.ngoja niusubscribe huu uzi kwa ajili ya baadae.ila muweke namba za simu.wengine hatutaki identity zetu zijulikane.bora uweke namba upigiwe.
 
Aisee mimi kipara kinaniboa sana kwanza kimekuja nikiwa bado kinda kbs 28 yrs na kinakuja kwa kasi tena kimeanzia mbele kinatafuna kuja nyuma.me kinaninyima raha kbs maana kimekuja ktk wakati ambao bado sijapata uhakika wa mapene ya kutosha inshort naganga njaa.

Hivyo kwa garama yoyote lazima nikiondoshe couse nataka kusuka dredi
kata kichwa ubaki na kiwili-wili utadhibiti hilo tatizo ni tiba tosha...
 
hakuna dawa ya upara kibongo bongo...... hiyo ni janja janja tuu ..ukitaka kuondoa upara bora ukate kichwa yako kabisa au tafuta milioni zaidi ya 70M BONGA na rooney atakupa mahala sahihi pa kutoa hiyo kitu.
 
Back
Top Bottom