Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 2,889
- 4,295
Kweli mkuu nakumbuka kuna nyumba niliwahi kupanga asa kuna siku Mwenye nyumba alipiga floor Kwa nje me sikujua ile naingia tuu nikakanyaga halafu ilikua mbichi, ebhana Yule mbaba alichonifanyia usiku sitosahau yaani ile alichukulia ni 7buUchawi hauitaji details, uchawi unataka sababu tu mtu akipata sababu hata ya kukusababishia unakwenda na maji. Anaweza akaja kukuomba chumvi kile kitendo cha kumnyima tu ni sababu tosha, '' ''tunayaweza yote katika yeye atutiaye nguvu''.
Sent using Jamii Forums mobile app