Baba mtakatifu91
JF-Expert Member
- Apr 25, 2026
- 3,548
- 7,367
Uzi mujarabu kabisa huu
Acha kutia huruma na kumwonea huruma mwenzio mwache anywe dawa arudi kwenye mstari😂Unapoteza muda no signal
Njoo twende kwenye mambo ya msingi huko kwingine
Hutaki watu wanisapoti, 🤣 ngoja niwafukuze basi.Uhalisia wa mtu aliye shindwa huwa anaanza kutafuta kisingizio cha kuegemea
Akili yako inakwambia hili ni tusi, a very pathetic person you are!Amka wewe millenial unaemalizia muongo wa mwisho kabla huja expire
Basi jamani, we ndo bi mzuri 😂💔Acha kumfariji huyu bi mzuri uchwara lazima apate anacho kitafuta
Ukweli wako unamaanisha?Sio matatizo bali ukweli ngumu Kumeza ambao umejitahidi kuumeza ila kupona hautaki
Acha kuleta pigo za mademu wa sekondari mzee weweHutaki watu wanisapoti, 🤣 ngoja niwafukuze basi.
Akili yako inakwambia hili ni tusi, a very pathetic person you are!
Basi jamani, we ndo bi mzuri 😂💔
Unatumika vibaya na mi nalijua hili 😂😂Acha kuleta pigo za mademu wa sekondari mzee wewe
Shida ni kwamba we huna akili, utayaonaje haya?Nakwambia je, hakuna attention wala nini hapa ni mimi na wewe mpaka uombe kukimbia.. Ila dawa lazima iingie
Sija tukana naongea tu mimi, kutukana mnafikiri nyie
Your yapping because your mind has become blank due to kukosa PA kuegemeaUnatumika vibaya na mi nalijua hili 😂😂
Shida ni kwamba we huna akili, utayaonaje haya?
Huoni kama majibizano yetu hayana chochote cha maana zaidi i’m only reply to your yapping mouth?
I hope unaelewa unachoandika.Your yapping because your mind has become blank due to kukosa PA kuegemea
Ni wewe uliye mezeshwa upuuzi na kukubali ndiye ambaye huna akili sio mimi niliyestick kwenye point zangu mpaka sasa
Stop deluding yourself by the shit you didn't create but cramped from another person
Wake that ass up, and be a genuine woman you were meant to be
Sio kuelewa tuI hope unaelewa unachoandika.
Tutakurudisha kwenye ban kijanaSio kuelewa tu
Ninaamaanisha kabisa.
You've no where to defend yourself unaishia kujichekesha tu upate sympathy
That’s was so easy for you to reply. 😅😅Sio kuelewa tu
Ninaamaanisha kabisa.
Sympathy kutoka kwa nani?You've no where to defend yourself unaishia kujichekesha tu upate sympathy
Mkuu hii ni vita yangu na huyu..Tutakurudisha kwenye ban kijana
Hahaha Daah ila wewe ni kichwa ngumu sana😂😂😂That’s was so easy for you to reply. 😅😅
Sympathy kutoka kwa nani?
Nijidefend kwa nani? Kwako? Hivi unajionaga nani Gunner?
Commitment yako kwenye ujinga ni nzuri, endelea hivyo hivyo baadae ulaumu wakawake for your own misfortunes . Sawa?
Umefutwa ndio , ila nilikuambia ukakaza shingo na hapa nakuambia tena kitakacho fuata itv nisilaumiwe, mimi ni ushauri tuMkuu hii ni vita yangu na huyu..
Msiwasanue mods bwana
Aisee sitaki kupigwa ban na ule uzi wamesha ufuta tayari
binti kiziwi let's stop this mess right now..Umefutwa ndio , ila nilikuambia ukakaza shingo na hapa nakuambia tena kitakacho fuata itv nisilaumiwe, mimi ni ushauri tu
Kumbe ulikuwa hunijui vizuri?Hahaha Daah ila wewe ni kichwa ngumu sana😂😂😂
I’m loved at home, care from strangers sipokeagi.Ni lini utatoka katika hiyo jela, I care for you ujue
Tulia ukandwe, uzi wako gani umeondolewa?binti kiziwi let's stop this mess right now..
Sikia nilikuwa na kujaribu tu wewe danda head uliyefuraKumbe ulikuwa hunijui vizuri?
I am fully of myself, heaven and hell in one person.
I’m loved at home, care from strangers sipokeagi.