binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,348
- 41,619
Sheik yahaya unajuaje haya?Sija fanya projection bali ni translate your unsaid emotional wounding..
Ninyi mlipona lini hadi mniponye mimi? Mfano wewe hapo to be specific 😅Kama ukikosa father figure, tupo sisi wa kukuponya..
Dunia ina feminism nusu, patriarchy nusu kwa sasa, ni mambo yanayo co-exist there’s nothing much you can do about that.Achana na feminism rudi njia kuu