Kwahiyo siku nikifika huko ndio nimshukuru si ndio?Endelea kuomba labda application form yako ilikuwa na mkaa wa stoo
mmh! mwenzangu mpaka ufikie level hizo kwa usawa huu basi ujuwe kuipata Pepo ni ngumu maana hizo mali % kubwa kuzipata halali ni ngumu sana
Umefail sky eclat:....we need to say thanks for good and bad,good gives us happines bad gives us experience.
Kwahiyo sisi tunaolala stoo hatutakiwi hata kumtaja Mungu
Tuna komenti wapi sisi wa upande wa huku...!!??
Ombeni kupata umeme wa REATuna komenti wapi sisi wa upande wa huku...!!??View attachment 1074074