Kama ulikuwa hujui

Kama ulikuwa hujui

ni kweli yani mpaka hasira zinakuwaka ila naonaga ukiendelea kumjibu ni kujiongezea hasira.

wanabidi walifanyie kazi team ya jf kulitatua hilo swala.
jinsi unavyoendelea kumjibu ndio hasira zinapanda zaidi aisee. kwenye jukwaa la siasa kule ban nje nje

ngoja tuone kama watalifanyia ufumbuzi maana imekuwa kero sana sasa
 
Ukishaona tu mtu hana mwelekeo mzuri kwenye mjadala unamfungia vioo haraka sana na kumpuuza kabisa...ni njia ngumu lakini very productive
kwahiyo kaka mshana mfano ukipigwa ban hiyo avatar yako wanaitoa wanaweka yao kwa muda huo?
 
ila kuna siku niliweka post chitchat yenye heading 'sijui nitapigwa ban' aisee kuja kushangaa niko kifungoni na sababu waliyotoa eti niliomba mwenyewe....hii ban ilinipa hasira sana
hahahaha sababu uliomba mwenyewe. duuuh huyo mod alijisikia tu.
 
Halafu nilihis ni swag kumbe duuu nusu niingie google nidownload hako ka log kawe my avatar...
 
Back
Top Bottom