Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,738
- 12,424
Hiyo nimeikosa ila nitainyaka tu.![]()
![]()
![]()
![]()
ya kwao haina marembo kama hii yako
Hiyo nimeikosa ila nitainyaka tu.![]()
![]()
![]()
![]()
ya kwao haina marembo kama hii yako
Kwa kweli wanabidi wafanye mchakato huo....tupate zawadi zetu.Inabidi @Modorate watu tunuku sisi ambao tumekua watiifu wa kufuata sheria za jf pasipo kupata bun, ilhali tukiwa wachangiaji 24/7
Ah hiyo haitufai.....watupe zawadi nyingine ya kuishinda BAN ya JF.Ya BAN ukiharibu![]()
![]()
![]()
ila kuna siku niliweka post chitchat yenye heading 'sijui nitapigwa ban' aisee kuja kushangaa niko kifungoni na sababu waliyotoa eti niliomba mwenyewe....hii ban ilinipa hasira sana

A see mi nilikuwa jua ni avataHii sio avatar ya kawaida View attachment 387160..! Usije ukadhani mbona avatar moja wanatumia watu wengi?
Ukiona hivyo jua mtu yuko lockup tayari
Kumbe ndio IPO hivyoHii sio avatar ya kawaida View attachment 387160..! Usije ukadhani mbona avatar moja wanatumia watu wengi?
Ukiona hivyo jua mtu yuko lockup tayari
Next week naingia mwaka wa 7 humu, hiyo ban haijawahi kunigusa.!Ila tangia nianze jf miaka 5 sasa sijawahi kuwa lockup.
Nadhani huwa ni kifungo tuHivyo vifungo huwa vya muda gani? Siku... wiki.... mwezi..... je, kuna fine ambayo mtuhumiwa anatakiwa kulipa? Au ni hicho kifungo tuu
basi bado hujakamilikaIla tangia nianze jf miaka 5 sasa sijawahi kuwa lockup.
ila kuna siku niliweka post chitchat yenye heading 'sijui nitapigwa ban' aisee kuja kushangaa niko kifungoni na sababu waliyotoa eti niliomba mwenyewe....hii ban ilinipa hasira sana

basi bado hujakamilika
ukamilifu mpaka lockup jamani.....si lazma twende wote uko wengine mtuwakilishe tu.