Kama ulikuwa hujui

Kama ulikuwa hujui

Inabidi @Modorate watu tunuku sisi ambao tumekua watiifu wa kufuata sheria za jf pasipo kupata bun, ilhali tukiwa wachangiaji 24/7
Kwa kweli wanabidi wafanye mchakato huo....tupate zawadi zetu.
 
Mi ban huwa napata kila wiki.
Halafu sijui wamenifanyaje! Yaani nikipata ban siruhusiwi hata kulog out, inakuwa error tu.
 
Si walisema wanakuza kiswahili? Mbona tena tunatumia kidhungu?
 
Back
Top Bottom