Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 6,326
- 7,522
Kwahiyo hujui uchungu wa kifungiwa.ukamilifu mpaka lockup jamani.....si lazma twende wote uko wengine mtuwakilishe tu.
Hongera,,hapa nilipo nipo kifungoni.
Kwahiyo hujui uchungu wa kifungiwa.ukamilifu mpaka lockup jamani.....si lazma twende wote uko wengine mtuwakilishe tu.
Hongera sana.......kumbe inawezekana . au na wewe mwezangu haujachokozwa?Next week naingia mwaka wa 7 humu, hiyo ban haijawahi kunigusa.!
Kwa kweli sijui machungu....labda nijipe kifungo mwenyewe.Kwahiyo hujui uchungu wa kifungiwa.
Hongera,,hapa nilipo nipo kifungoni.
Nadhani huwa ni kifungo tu
Mchezo rais, unafungua new account..!Hii sio avatar ya kawaida View attachment 387160..! Usije ukadhani mbona avatar moja wanatumia watu wengi?
Ukiona hivyo jua mtu yuko lockup tayari

Hongera sanaIla tangia nianze jf miaka 5 sasa sijawahi kuwa lockup.
Nimechokozwa sana ila ukipuuzia maisha yanaenda vizuri tu.Hongera sana.......kumbe inawezekana . au na wewe mwezangu haujachokozwa?
Hahahaah avatar inatisha kwani?Labda kwasababu ya hiyo avatar yako
kweli kabisa .......ni kupuuza tu.Nimechokozwa sana ila ukipuuzia maisha yanaenda vizuri tu.
Mimi pia, ndio nimejua leo. Asante mleta taarifa.Kati ya waliokuwa hawajui hii kitu, na mimi ni mmoja wapo... Asante kwa taarifa
hahahaha watu mna majungu. Sasa nimerudi, maana juzi kati hapa naona wana CCM tulipigwa BAN. Ila sasa tupo full gado.