Kama ulikuwa hujui

Kama ulikuwa hujui

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,194
Reaction score
829,154
Hii sio avatar ya kawaida
1472085333000.jpg
..! Usije ukadhani mbona avatar moja wanatumia watu wengi?
Ukiona hivyo jua mtu yuko lockup tayari
 
hahaha Hahaha mod 1 2 3 4 5 6 7 heshima zenu wakuu.MishanaJr omba usipigwe Ban hizi kuanzi kuanzia leo hadi tarehe 6 utakosa huondo wa UKUTA ndani ya hili jamvi la JF.


swissme
 
hahaha Hahaha mod 1 2 3 4 5 6 7 heshima zenu wakuu.MishanaJr omba usipigwe Ban hizi kuanzi kuanzia leo hadi tarehe 6 utakosa huondo wa UKUTA ndani ya hili jamvi la JF.


swissme
 
Ahsante Mshana mie ilikuwa nikiona Avator ya hivyo najua ni muhusika kaweka kwa raha zake
 
Kumbe........... mie nilidhani ni avatar ya kawaida tu,.......mtu tu amekuwa mbunifu kumbe ukiona hivyo ujue IMOOOOOO!!!!! mtu tayari ashaswekwa ndani
 
Hivyo vifungo huwa vya muda gani? Siku... wiki.... mwezi..... je, kuna fine ambayo mtuhumiwa anatakiwa kulipa? Au ni hicho kifungo tuu
 
Back
Top Bottom