Ndugu watanzania wenzangu,
Natumaini mko salama.
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Nilimsikiliza kwa makini sana ndugu Msigwa wakati akiongea na wanahabari kuhusu kuomba msamaha kwa Kinana dhidi ya tuhuma za ujangili alizozitoa bungeni. Katika maelezo yake, mambo mawili niliweza kuyadadavua: (a) Kama tuhuma zilikwa siyo zaukweli, he is really a low-IQ political leader ever, na (b) kama zilikuwa na ukweli, basi kuna dili limechezwa kati ya hawa watu wawili kulinda maslahi yao.
Kwanini Msigwa nimemuita a low-IQ political leader ever? Kwanza kabisa na mnukuu “Katika kesi hiyo iliyosikilizwa na kuhukumiwa na jaji Zainabu Mluke, nilikutwa na hatia baada ya kushindwa kuthibitisha tuhuma zangu hizo mbele ya mahakama. Leo nakiri mbele yenu, kupitia ninyi mbele ya watanzania kwamba, tuhuma hizo nilizozitoa mara kadha dhidi ya Kinana, hazikuwa na ukweli wala ushahidi wowote, taarifa nilizopewa nakuzitumia hazikuwa na ukweli bali malengo potofu ya kisiasa na kizandiki. Nachukua full responsibility, kwa sababu mimi nilikuwa waziri kivuli, nilipaswa nifanye homework yakutosha pamoja na kwamba taarifa hizo nilipewa na mtu ninayemuamini”………
Kwanza nilianza kwa kutafiti ili nijue kiwango cha elimu cha msigwa, nkaipata CV yake ambayo inaonyesha, Msigwa ana shahanda ya kwanza (Theology) 2004-2007, All African Bible College, Durban, Kwazulu Natal, South Africa (ABBC-Durban). Hii ndiyo elimu ya juu aliyonayo ndugu Msigwa kwasasa. Kwa kiwango hiki cha elimu, na wadhifa wa uongozi aliokuwa nao (waziri kivuli-mali asili na utalii), siamini kama kweli alikuwa hajui kama hauna nyaraka za kuthibitisha unachokisema, utakuwa unaudangaya umma.
Isitoshe, sina uhakika kama Msigwa hakujua kuwa kauli zake hizo tayari zimeathiri reputation yake (Hapa na maana ya kwamba, Msigwa atakuwa na ujasiri gani tena wa kuuambia umma kwa jambo lolote lile?). Hii inafanana na tuhuma za ufasidi walizompa Lowasa, baadae hao hao wakamsafisha akawa tena siyo fisadi, na jambo hili (political gambling), imeathiri taswila ya chama mpaka leo. Upeo wa kufikiria wa Msigwa hapa ulikuwa mdogo sana, inaonekana maslahi binafsi yalitawala bila kufikilia kwa kina ni kwa kiwango gani hizi kauli zinaenda kuiathiri his political career.
Msigwa alitakiwa ajifunze kwa Dr. Slaa, mzee huyo alikuwa akiambatana na nyaraka kwa kila tuhuma aliyokuwa akiitoa kwa serikali au mtu binafsi. Hapa naona thamani ya mzee Slaa ndani ya CDM. Kutokuwepo kwa mzee huyu, chama kimekosa watu weledi na focus ya c hama iko dilemma mpaka leo. It is time to go back to the drawing board, au Chama kitafute mathink tank wapya.
Hawa wawili (Msigwa na Kinana), kunauwezekano wamekula dili pamoja. Inawezekana ushindi wa Kinana uliambatana na Msigwa kutakiwa kumlipa Kinana findia ya kumchafua, na inawezekana ni hela ndefu sana ambayo msigwa ilimshinda kuilipa (just my speculation), ndiyo ikampa kinana fulsa ya kumwambia Msigwa amsafishe mbele ya umma (you scratch my back I scratch yours).
Nawasilisha kwa majadiliano
Kejuu
Natumaini mko salama.
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza. Nilimsikiliza kwa makini sana ndugu Msigwa wakati akiongea na wanahabari kuhusu kuomba msamaha kwa Kinana dhidi ya tuhuma za ujangili alizozitoa bungeni. Katika maelezo yake, mambo mawili niliweza kuyadadavua: (a) Kama tuhuma zilikwa siyo zaukweli, he is really a low-IQ political leader ever, na (b) kama zilikuwa na ukweli, basi kuna dili limechezwa kati ya hawa watu wawili kulinda maslahi yao.
Kwanini Msigwa nimemuita a low-IQ political leader ever? Kwanza kabisa na mnukuu “Katika kesi hiyo iliyosikilizwa na kuhukumiwa na jaji Zainabu Mluke, nilikutwa na hatia baada ya kushindwa kuthibitisha tuhuma zangu hizo mbele ya mahakama. Leo nakiri mbele yenu, kupitia ninyi mbele ya watanzania kwamba, tuhuma hizo nilizozitoa mara kadha dhidi ya Kinana, hazikuwa na ukweli wala ushahidi wowote, taarifa nilizopewa nakuzitumia hazikuwa na ukweli bali malengo potofu ya kisiasa na kizandiki. Nachukua full responsibility, kwa sababu mimi nilikuwa waziri kivuli, nilipaswa nifanye homework yakutosha pamoja na kwamba taarifa hizo nilipewa na mtu ninayemuamini”………
Kwanza nilianza kwa kutafiti ili nijue kiwango cha elimu cha msigwa, nkaipata CV yake ambayo inaonyesha, Msigwa ana shahanda ya kwanza (Theology) 2004-2007, All African Bible College, Durban, Kwazulu Natal, South Africa (ABBC-Durban). Hii ndiyo elimu ya juu aliyonayo ndugu Msigwa kwasasa. Kwa kiwango hiki cha elimu, na wadhifa wa uongozi aliokuwa nao (waziri kivuli-mali asili na utalii), siamini kama kweli alikuwa hajui kama hauna nyaraka za kuthibitisha unachokisema, utakuwa unaudangaya umma.
Isitoshe, sina uhakika kama Msigwa hakujua kuwa kauli zake hizo tayari zimeathiri reputation yake (Hapa na maana ya kwamba, Msigwa atakuwa na ujasiri gani tena wa kuuambia umma kwa jambo lolote lile?). Hii inafanana na tuhuma za ufasidi walizompa Lowasa, baadae hao hao wakamsafisha akawa tena siyo fisadi, na jambo hili (political gambling), imeathiri taswila ya chama mpaka leo. Upeo wa kufikiria wa Msigwa hapa ulikuwa mdogo sana, inaonekana maslahi binafsi yalitawala bila kufikilia kwa kina ni kwa kiwango gani hizi kauli zinaenda kuiathiri his political career.
Msigwa alitakiwa ajifunze kwa Dr. Slaa, mzee huyo alikuwa akiambatana na nyaraka kwa kila tuhuma aliyokuwa akiitoa kwa serikali au mtu binafsi. Hapa naona thamani ya mzee Slaa ndani ya CDM. Kutokuwepo kwa mzee huyu, chama kimekosa watu weledi na focus ya c hama iko dilemma mpaka leo. It is time to go back to the drawing board, au Chama kitafute mathink tank wapya.
Hawa wawili (Msigwa na Kinana), kunauwezekano wamekula dili pamoja. Inawezekana ushindi wa Kinana uliambatana na Msigwa kutakiwa kumlipa Kinana findia ya kumchafua, na inawezekana ni hela ndefu sana ambayo msigwa ilimshinda kuilipa (just my speculation), ndiyo ikampa kinana fulsa ya kumwambia Msigwa amsafishe mbele ya umma (you scratch my back I scratch yours).
Nawasilisha kwa majadiliano
Kejuu