Kama TBL mapato yanashuka, basi hali ni mbaya

Kama TBL mapato yanashuka, basi hali ni mbaya

Gamba la Nyoka

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2007
Posts
7,038
Reaction score
9,353
IMG-20161124-WA0035.jpg

Ripoti ya Profit and Loss inayoishia September mwaka huu, inaonyesha kuwa mapato ya TBL yameshuka.

My take:

Hii ni indicator iliyodhahiri kuwa mtaani hali ni mbaya.
Lakini ifahamike kuwa TBL ni mlipa kodi mkubwa, sasa kama hali yao nao inasuasua je hali ya kiuchumi nchini kwa ujumla ikoje?

Ni muda muafaka sasa serikali kuchukua hatua madhubuti kustabilize uchumi, la sivyo tutakwenda kwenye recession.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] siku hizi viroba na chibuku imekua dili[emoji3][emoji3]

Huu ni mwanzo tu, wanaotuambia uchumi unakua kwa kasi watatujibu...

Daaafedeki,
 
Mda utaongea, Jamaa akiendelea kukaza ipo siku atakuja kustuka akikosa kulipwa mshahara maana wanapata kiburi wakitegemea fedha za hifadhi ya jamii,wafanyakazi wanapunguzwa hivyo fedha za mifuko nayo inapungua.
 
Na Bodi iliyokuwa ikifanikisha makusanyo ya kodi yenye kuvuka malengo imevunjwa.

Mpaka isukwe upya....
 
Na ndio walipa kodi wakuu Wa nchi.....

Naliona anguko kubwa la uchumi Wa Tanzania.....
 

Ripoti ya Profit and Loss inayoishia September mwaka huu, inaonyesha kuwa mapato ya TBL yameshuka.

Moderators msihamishe uzi huu:

My take:

Hii ni indicator iliyodhahiri kuwa mtaani hali ni mbaya.
Lakini ifahamike kuwa TBL ni mlipa kodi mkubwa, sasa kama hali yao nao inasuasua je hali ya kiuchumi nchini kwa ujumla ikoje?

Ni muda muafaka sasa serikali kuchukua hatua madhubuti kustabilize uchumi, la sivyo tutakwenda kwenye recession.
Na bado shigongo anaidai serikali ya ccm
 
nchi inayumbayumba,imepigwa dhoruba kali

Bado serengeti,hawa ndio wako hoi kabisa,

the road to hell is paved with good intentions,

nchi inakwenda kuzimu huku tukiambiwa maneno matamu kama eti walizoea dili,nanyoosha,mambo yalikuwa mabaya

ni wazi kabisa sasa lango la kuzimu liko wazi kwa ajili ya Tanzania.

Biashara ya baa na sehemu za burudani imedoda,

ukirudi kwenye kampuni ya sigara,vijana sikuhizi wanapiga ugoro tu

[HASHTAG]#sizonjemambobado[/HASHTAG]
 
Kwenye taarifa ya week ya Soko la Hisa inaonyesha amna foreign investor aliekuja kuwekeza kwa week iliyoisha j3,pia ununuzi wa hisa umeshuka kwa kiasi kikubwa.
 
Hahahaha ulijuaje hahahaha....Jana tu tulifanya hvyo bia moja moja.....n'a nyagi

OVA
unachochea konyagi nyumbani,halafu unasafisha koo kwenye baa na zile bia za buku jero,moja tu,maana ukinywa nyingi utaipa faida serikali,hakika wanywaji wanaweza angusha nchi,kama tu wakiamua
 
Siku hzi tunakunywa Jibapa. Tukiwa watano tunachanga elfu 2 kila mtu tunavuta jibapa.
Njia mpya ya kubana matumizi.
 
unachochea konyagi nyumbani,halafu unasafisha koo kwenye baa na zile bia za buku jero,moja tu,maana ukinywa nyingi utaipa faida serikali,hakika wanywaji wanaweza angusha nchi,kama tu wakiamua
Unywaji wa pombe umepungua...saa kumi mpk saa tano kamili usiku....Bado Wenye bar hawajawalipa mshahhara wafanyakazi

OVA
 
Back
Top Bottom