Kama taratibu zinaruhusu, shule hizi zihakikiwe

Kuna baadhi ya wanafunzi nawafahamu wametoka miongoni mwa shule hizi zinazoongoza kitaifa/form 4, wanapokuwa A level au hata chuo ukweli ni tofauti kabisa na ufaulu wao wa O level.

Hebu Wizara husika chukueni jukumu la kuwaita hao wanafunzi wa St. Francis wote na kisha just tafuteni utaratibu wa kuwapima uelewa wao usikute kuna mchezo mchafu, inatia shaka sana darasa zima kufaulu kwa pointi 7, hebu fuatilieni.
Necta wanajua kazi yao siyo kama unavyofikiri,ndiyo maana shule za alliance zilifungiwa,hizi shule zenye kutiliwa shaka kipindi chote cha mitihani mwanzo mwisho anakuwepo afisa wa baraza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zile tests wanazofanya wiki kadhaa kabla ya mtihani wa taifa ndizo za kuhakikiwa.

Walimu waseme hayo maswali huwa wameyatoa wapi.

Haiwezekani mfanye test leo, then kesho kwenye necta mkute 95% ya maswali yalikuwepo kwenye tests mliyofanya jana.




Unforgetable
Ni coincidence tu mkuu inatokea, walimu watungaji wanakua na machale sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu na huwa hazitoki nje ya geti, huwa pepa zao znafichwa ni balaa, kuna dili hapa si bure.
Zile tests wanazofanya wiki kadhaa kabla ya mtihani wa taifa ndizo za kuhakikiwa.

Walimu waseme hayo maswali huwa wameyatoa wapi.

Haiwezekani mfanye test leo, then kesho kwenye necta mkute 95% ya maswali yalikuwepo kwenye tests mliyofanya jana.




Unforgetable

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani weww mtoa mada ni miongoni mwa watu wanao dharau hustle za watu

Wewe huoni jitahada za kuchagua wanafunzi bora, jitihada za mitihani kila wiki, watoto wanakula vizuri, walimu wazuri wanaolipwa vizuri, usimamizi mzuri wa wazazi. Vyote hivyo huoni ila wewe umeliona la kuchunguza tu kwa sababu ya ufaulu?
Kwanini msijichunguze nyie na shule zenu kwanini mnafeli?
Hizi jamii za kiafrica aisee yani watu tunaona mtu kufeli ndo jambo la kawaida ila mtu akifaulu katika jambo lolote tunaamini kuna njia mbaya ambayo ametumia.

SHAME ON YOU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ww umemshutumu mtoa mada bila kuwa na data, umeangalia hoja za wadau?, kama vile kwann maswali ya tests before necta yanafanana kwa 95%, kwann ni vigumu kuona notes zao?, Kwann huwa wanashiriki kwa asilimia kubwa kwenye utungaji wa hii mitihani?.
Kabla hujaoji mwenzio huwe unafuatilia kwanza inawezekana kuna ukweli ndani yake, swali la msingi lijibiwe kwa data na sio ushabiki au unafiki
Yani weww mtoa mada ni miongoni mwa watu wanao dharau hustle za watu

Wewe huoni jitahada za kuchagua wanafunzi bora, jitihada za mitihani kila wiki, watoto wanakula vizuri, walimu wazuri wanaolipwa vizuri, usimamizi mzuri wa wazazi. Vyote hivyo huoni ila wewe umeliona la kuchunguza tu kwa sababu ya ufaulu?
Kwanini msijichunguze nyie na shule zenu kwanini mnafeli?
Hizi jamii za kiafrica aisee yani watu tunaona mtu kufeli ndo jambo la kawaida ila mtu akifaulu katika jambo lolote tunaamini kuna njia mbaya ambayo ametumia.

SHAME ON YOU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walimu kwenye shule zenu za kata wakiwambia leten rimu paper watoto wenu wafanye mitihani kila wik kila mwez mnakuja Jf kulia lia et ooooh elimu bure

Wenzenu wamelipa ada watoto wao wamepata matokeo mnakuja kulia lia
 
Watakubeza mkuu lakini ukweli ndio huo kuwa kuna namna mipango imefanyika maana elimu ndio biashara kubwa sana kwasasa bongo hasa hizi shule za kujua kingereza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana hiyo biashara inafanyika kila mwaka na kwa shule hiyo hiyo tuu?tuwaze kuwasaidia wanaofel tuachane na hawa au ndo ule msemo wa tusichekane unaapply hapa
 
Kama wana-cheat sijui lakini dah, hawa wanafunzi kama wanaenda A-Level za kawaida (za serikali), wengi wao huwa wanafeli; cjui kwanini!! Nakumbuka mwaka wetu, wanafunzi waliokuwa wametoka seminary schools wengi walifanya vibaya sana including na mkali aliyekuja darasani kwetu huku akiwa na msululu wa A's! Huyu Six alitoka na IV ya kutisha!!

Sasa sijui wakienda zile shule zetu wanakuwa ni kama kuku wa kienyeji walioachiwa kutoka bandani na hivyo wana-misuse uhuru, au sijui huwa wanakumbwa na nini!

USHAURI: Kama una mwanao kutoka hizo shule halafu amepangiwa shule zetu hizi; kama mfuko bado unaruhusu, mrudishe tena kwa V & VI huko huko alikotoka au shule nyingine inayofanana na huko alikotoka! Ukipuuza ushauri huu, yatakapotoka matokeo yake ya Form VI hapo baadae usijisahaulishe huu ushauri!
 
Kuna baadhi ya wanafunzi nawafahamu wametoka miongoni mwa shule hizi zinazoongoza kitaifa/form 4, wanapokuwa A level au hata chuo ukweli ni tofauti kabisa na ufaulu wao wa O level.

Hebu Wizara husika chukueni jukumu la kuwaita hao wanafunzi wa St. Francis wote na kisha just tafuteni utaratibu wa kuwapima uelewa wao usikute kuna mchezo mchafu, inatia shaka sana darasa zima kufaulu kwa pointi 7, hebu fuatilieni.
Duh mkuu hapa umetumia kiwango kidogo sana cha kufikiri. Kwamba dv 1.7 kupata wengi kwako ni tatizo? Kwa nini usishauri serikali ikajifunze kwa ufaulu huo ili nao shule zifanye vizuri. Kuhusu kutofanua vizuri masomo ya chuo hiyo inawezekana hata mchezaji wa Man U bora kabisa ukimweka acheze na wachezaji wa Simba au Yanga anaweza kuonekana dhaifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom