Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,743
Mkuu, Rais wa Nigeria alipo chaguliwa amekaa miezi sita bila ya Baraza la Mawaziri na Nchi ikawa anaiongoza kwa ufanisi mkubwa!!!mwezi umeisha bila baraza la mawaziri, mtu mbili tu zinaendesha nchi magufuli na ombeni tosha kabisa, pale bungeni walivyokuwa wanafanya fujo angelifuta bunge palepale ingekuwa bonge la big up.