muhuwesichimalamyasi
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 306
- 132
...hapajawahi kutokea watu wagumu (na vigeugeu) kama watanzania, sherehe zingekuwapo jioni hiyo hiyo ungewaona humu wanaandika watu wanalala chini temeke, sisi tunasherehekea miaka "....sijui hata imefika mingapi tena". Tena hawataishia hapo, ungewasikia wakienda mbali zaidi na kupendekeza " hivi ingekuwaje kama tungekuwa tunasherehekea kila baada ya miaka 10 au 20?" Ili hizo pesa tuziokoee..
WTF is wrong with us!! Seriously tulikosea wapi mpaka tukawa na huu ukigeugeu wa ajabu namna hii? Tuna mlolongo wa sherehe/ maadhimisho ambayo kimsingi kadri miaka inavyokwenda tunazidi kuona hakuna tija?
Afterall kwa hili limekaa kwa technicalities tu, kuwa siku imebaki ila namna ya ukumbukaji wake ndio itabadilika. We have to start somewhere sasa vikianza tu mnaanza tena kulalamika.
Labda kama hatukubaliani kwa pamoja kuwa tulipofikia kwa sasa yanahitajika maamuzi magumu! Ila kama tunakubaliana basi tutulie tu dawa iingie kwa sasa maana hakuna namna nyingine kwa kweli.
Hawa ni wapinzani wa damu,nyama na roho.hawa lolote linalofanywa na serikali kwao baya....au haumjui PASCO????