GE2025 Kama Rais ndio anaamua nani awe mbunge, msinisumbue kupiga kura

GE2025 Kama Rais ndio anaamua nani awe mbunge, msinisumbue kupiga kura

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,286
Reaction score
10,831
Mbunge ni muwakilishi wa wananchi hivyo inabidi achaguliwe na wananchi. Wananchi wanamchagua mtu ambaye wanajua anafanana na wao na anaweza kwenda kupeleka hoja zao bungeni.

Lakini kwa jinsi siasa zilivyo ni kama mtu anakuwa mbunge kwa huruma ya rais na sio kwa kura za wananchi. Kwa sababu hii suala la kupiga kura linakuwa ni uongo wa wazi. Mfano, hivi karibuni Rais akiwa Kigome amesema ana watoto wawili wanataka ubunge. Kauli yake ni kama anaamua nani awe mbunge.

Na kama hali ni hivi, basi mimi sitaki kupiga kura kwa kuwa viongozi mmeshawajua.
 
No reforms no election kupiga kula ni kupoteza mda, ila watz wengi ni wajinga watapiga kula tu hakuna namna
 
Back
Top Bottom