Tena huyo anaetandikwa angetoka hapo makalio yanawaka moto,anastaili bakora za kutosha.
jamani mmeoa sura ya mkapa baada ya bakora.. mkwere anachukuwa zake.... EL inabidi aangaliwe vizuri anaweza hta akashindilia madaftari katika makalio...
huyo wa tatu na wanne kwenye mstari ni nani?