Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

Kama ningerudi ku "date" tena ...24year old boy and nothing else

Binafsi sidhani kama ulikua na mtu anakufanya ' at least' happy at 24 years ndio guarantee utakua happy maisha yako yote....labda muoane ...napo haiko certain

Unaweza kuwa nayo ulivyokuwa miaka 23 ila happiness inaweza kuja again ukiwa 60 huko...na kuna periods katikati hapo smbazo zina experiences tofauti; hurt, confused,etc yote ni maisha,

Kama una mbabu sasa hivi sio kwamba unamiss kitu huko nje ...I'm sure kuna mazuri yake yaliyokufanya ukawa nae ambayo yanafidia mapungufu yake ...si kweli kuwa na vijana wadogo ndio raha, immaturity yao inaweza kuku cost, ukiachana nako katajitahidi kakuumize hisia..emotional blackmail...etc

Nachotaka kusema usidhanie umemiss ulivyokuwa 24 years old, inawezekana ungemdate mkaka kijana na angekuchanganya..

Date at 24 the same as date at 50 , zote ni experiences tu have fun, don't regret anything
Hujamuelewa, amemisi dudu la kijana wa miaka 24, kwasababu kibabu chake utakuta hakidindishi vizuri, na yeye kwasasa ni mshangazi, akienda kwa boy wa 24 yrs, boy atamkataa.
 
Back
Top Bottom