Kama ningekuwa nakunywa basi leo ningekuwa chakarii

Habari za humu wandugu, leo hii nimevurugwa sana nisaidieni nipate utulivu,
nimeletewa laptop ilizima mwanga nikairekebisha ikawaka tu poa nikaizima na kuifunga, baada ya kumaliza kuifunga naiwasha haiwaki tena ukiwasha inawaka taa tu ya power halafu inazima baada ya sec 5 hata ukitoa betri inafanya tu hivo,

Laptop in ya mwanajeshi, nishakutana na changamoto nyingi lakini hii imenivuruga zaidi na hakuna sehemu niligusa zaidi ya Kioo tu,

Dah! hii wiki ikiisha salama kwangu no mungu tu anisaidie,

Sina namba zake namsubiria atakapokuja sijajua atapokeaje.
Acha uoga wewe, tafuta mtaalamu mwingine akurekebishie
 
Kuzazi cha 1990-2000 slekisleki
Kizaz cha amapiano singeli
Role model zenu wasanii bongo movie
Kazi kweli kweli

Ova
 
🤣🤣🤣ungekua unatengeneza simu si ungejiua kabisa ...unanunua lcd ya samsung kwa laki mbili na nusu na uneshatest kiko poa unakuja kufunga ngoma haitachi ama ndo inawaka simu lakini kioo kiko blank na mteja kakaaa nje anakusubiri si ungejinyea🤣🤣🤣🤣🤣
 
Habari za humu wandugu, leo hii nimevurugwa sana nisaidieni nipate utulivu,
nimeletewa laptop ilizima mwanga nikairekebisha ikawaka tu poa nikaizima na kuifunga, baada ya kumaliza kuifunga naiwasha haiwaki tena ukiwasha inawaka taa tu ya power halafu inazima baada ya sec 5 hata ukitoa betri inafanya tu hivo,

Laptop in ya mwanajeshi, nishakutana na changamoto nyingi lakini hii imenivuruga zaidi na hakuna sehemu niligusa zaidi ya Kioo tu,

Dah! hii wiki ikiisha salama kwangu no mungu tu anisaidie,

Sina namba zake namsubiria atakapokuja sijajua atapokeaje.


Elezea kama unavyoelezea hapa, huo ndo uanaume, Hakuna vita, issue ni kama ingeibiwa, mali yake ipo? Shida iko wapi....

Ila jipe mda inaweza kuwaka...
 
Habari za humu wandugu, leo hii nimevurugwa sana nisaidieni nipate utulivu,
nimeletewa laptop ilizima mwanga nikairekebisha ikawaka tu poa nikaizima na kuifunga, baada ya kumaliza kuifunga naiwasha haiwaki tena ukiwasha inawaka taa tu ya power halafu inazima baada ya sec 5 hata ukitoa betri inafanya tu hivo,

Laptop in ya mwanajeshi, nishakutana na changamoto nyingi lakini hii imenivuruga zaidi na hakuna sehemu niligusa zaidi ya Kioo tu,

Dah! hii wiki ikiisha salama kwangu no mungu tu anisaidie,

Sina namba zake namsubiria atakapokuja sijajua atapokeaje.
Ni kawaida yenu nyie mafundi wa Tanzania kuharibu vitu zaidi ya vilivyokuwa awali, mimi ukiona nimepeleka simu, laptop au kitu cha maana kwa fundi nimekwenda kukitupa tu huko na sio vinginevyo.
 
Habari za humu wandugu, leo hii nimevurugwa sana nisaidieni nipate utulivu,
nimeletewa laptop ilizima mwanga nikairekebisha ikawaka tu poa nikaizima na kuifunga, baada ya kumaliza kuifunga naiwasha haiwaki tena ukiwasha inawaka taa tu ya power halafu inazima baada ya sec 5 hata ukitoa betri inafanya tu hivo,

Laptop in ya mwanajeshi, nishakutana na changamoto nyingi lakini hii imenivuruga zaidi na hakuna sehemu niligusa zaidi ya Kioo tu,

Dah! hii wiki ikiisha salama kwangu no mungu tu anisaidie,

Sina namba zake namsubiria atakapokuja sijajua atapokeaje.
laptop ya aina gani?
 
Back
Top Bottom