KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 3,117
- 5,321
Binafsi Sina mashaka na uwezo wa CCM katika kushinda , ina uwezo mkubwa wa kushindana na kushinda tena kwa kishindo hivyo kama siku moja ningebahatika kuwa meneja wa kampeni za mgombea wa urais wa CCM ningemhakikishia USHINDI wa asilimia 90+ na angeupata kwa sababu:
1. CCM Ina wagombea wenye uwezo mkubwa wa kushindana na kushinda. Mgombea yeyote anayeletwa na CCM ana uwezo binafsi ambayo ndio sifa kuu katika ushindi nami ningeitumia sifa yake kuwezesha USHINDI wa kishindo.
2. CCM kinaamini katika ushindi na kinawekeza sana katika hilo kuanzia utekelezaji wa ahadi zake mpaka usimamizi ulio Bora kitu ambacho ni kipimo cha ushindi.
3. Huwa natamani kuona matokeo makubwa hivyo hii pia ni sehemu ya kuwezesha USHINDI wa kishindo kwa CCM.
4. Ningeinadi ilani ya uchaguzi ya CCM kwa namna ya kipekee yenye kushawishi.
5. Ningefanya kampeni shirikishi ambapo vyama vyote na makundi yote yangeshirikishwa na kutoa mawazo yao
1. CCM Ina wagombea wenye uwezo mkubwa wa kushindana na kushinda. Mgombea yeyote anayeletwa na CCM ana uwezo binafsi ambayo ndio sifa kuu katika ushindi nami ningeitumia sifa yake kuwezesha USHINDI wa kishindo.
2. CCM kinaamini katika ushindi na kinawekeza sana katika hilo kuanzia utekelezaji wa ahadi zake mpaka usimamizi ulio Bora kitu ambacho ni kipimo cha ushindi.
3. Huwa natamani kuona matokeo makubwa hivyo hii pia ni sehemu ya kuwezesha USHINDI wa kishindo kwa CCM.
4. Ningeinadi ilani ya uchaguzi ya CCM kwa namna ya kipekee yenye kushawishi.
5. Ningefanya kampeni shirikishi ambapo vyama vyote na makundi yote yangeshirikishwa na kutoa mawazo yao