hang'olwa
JF-Expert Member
- Apr 23, 2013
- 538
- 194
ushawahi kujiuliza kwa nini wamama watu wazima wanapenda kujifunika vichwa vyao au kwa nini msibani wanawake wengi huwa wanafunika vichwa vyao hata kama sio waislamu ?basi mwanamke anatakiwa'awe na stara hata wewe (japo sijajua jinsia yako)kama mwanaume sidhani ungependa uwende kwa wazazi wako au watu unaowaheshimu ukiwa na mkeo kavaa nguo ambayo ufito wachupi aliovaa ndani unaonekana!!!na suala la kuwa mtamu sijaua mtamu kivipi hujafafanua.Nimesikiliza leo hii jioni mawaidha ya sheikh mmoja kwenye TV nikiwa hapa Mwanza. Anasema wanawake wa kiislamu wanaovaa hijabu ni watamu sana kulinganisha na (kwa mujibu wake) wale "wanaoacha vichwa vyao kama nyoka na makwapa wazi"!
Je huu ndio msingi wa maoni yako?