Abubakar Shariff (Makaburi) na Aboud Logo walikuwa watu wenye elimu kubwa ya kidini hasa ufasaha katika kur ani, kwa hilo tu Allah awalipe insha allah, lakini jambo moja walilonishangaza ni kule kuwatetea kundi la vijana wa alshababi kwa kile walicho kiita eti JIHAD.
Hakuna jihad inayopiganwa kwa karne hii, hasa hao vijana wa alshababi kuua watu wasio na hatia hata kidogo, kuua watoto wadogo kwa aya zipi za kur ani.
Maelezo ya Nabii Muhammad (S.A.W) alishasema jihadi ndogo imekwisha duniani na kwa sasa imebaki jihadi kubwa, watu wakamuuliza ipi hiyo jihad ndogo na ipi hiyo jihad kubwa? Akajibu jihad ndogo ndio hiyo ya kupigana kwa upanga(vita) na jihad kubwa iliyobaki ni jihad ya nafsi ya mtu dhidi ya maasi ya ulimwengu, vipi mtu atajizuia na yale yaliyokatazwa Eg, ulevi, uzinzi, uasherati, ushirikina, wizi nk. Sasa leo akina Logo na Makaburi wanatumia elimu zao kuwatetea alshababi, 'wonderful'
Hakuna jihad inayopiganwa kwa karne hii, hasa hao vijana wa alshababi kuua watu wasio na hatia hata kidogo, kuua watoto wadogo kwa aya zipi za kur ani.
Maelezo ya Nabii Muhammad (S.A.W) alishasema jihadi ndogo imekwisha duniani na kwa sasa imebaki jihadi kubwa, watu wakamuuliza ipi hiyo jihad ndogo na ipi hiyo jihad kubwa? Akajibu jihad ndogo ndio hiyo ya kupigana kwa upanga(vita) na jihad kubwa iliyobaki ni jihad ya nafsi ya mtu dhidi ya maasi ya ulimwengu, vipi mtu atajizuia na yale yaliyokatazwa Eg, ulevi, uzinzi, uasherati, ushirikina, wizi nk. Sasa leo akina Logo na Makaburi wanatumia elimu zao kuwatetea alshababi, 'wonderful'