Kama nimekosea nishaurini jamani

wala siumizwe na maneno ya
wanafki wa pembeni km mwenye shughuli hana shida hao wengine wanakubana
nini?

unenichekesha dia unaweza hawa wanastaili mchambo basi tulisha kua.
 
Wewe kasimamie hiyo sendoff na kuhusu kutokuendana hayo achana nayo maana kila mtu ana uzuri wake
 
Tatizo kina dada mnapenda kushikiwa akili. Likitokea jambo unakimbilia kushauliwa. Mengine tumieni akili zenu. Wahenga walisema ''maji ya moto hayachomi nyumba''.
 
basi usinune nimeuliza tu maana naweza omba uwe matron kwenye sherehe yoyote itakayotokea.

sory ila una matatizo ya akir kwaiyo kuleta uzi ndo ukaona mm nasimamia kila mtu sahau.
 
kila mtu sio type yako...mademu wa hapo bongo mna mbwembwe kweli..
 
Mmh mjini kazi bora mimi harusi yangu ya kijijini sikuwa na matron wala nini mume wangu alikuja kujichukulia mzigo wake watu wakapiga mpunga yakaisha
 
Sasa kila mtu sio type yako,wa type yako wakoje labda?
 
nenda wewe kafanye yako kumbuka washiriki ni ila kombe la m1.fnya u2.ucwackilize watu.utapotewa


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…