Kama nimekosea nishaurini jamani

Kama nimekosea nishaurini jamani

luckyline

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2014
Posts
15,153
Reaction score
21,798
Wana MMU kwema?
Kuna jambo limenitatiza nikafanya maamuzi ila likanilazimu nililete hapa nione ushauri wenu.

Ni ivi kuna kijana mmoja tunafahamiana kwa mda mrefu ni just a friend ananiheshimu sana kiukweli hatuna lolote ni heshima tu ya mda mrefu (kwanza si type yangu so mnielewe).

Majuzi alinipigia simu yeye na dada yake wanaomba niwe matrion wa mke wake, yaan huyo kijana ndo anaoa.
Niwarudishe nyuma kidogo kwa ufupi nakuaga matron sana marafiki zangu wanapenda niwe matron though sio wote nawakubalia.

Huyo kijana na dada yake hata mama yao wote wanajua kuwa hiyo shughuli naweza ndio maana waliniomba.

Waliponambia nilitaka kukataa lakini nikaona mama yao atanielewaje? Halafu ikifika siku yangu je watanisaidia?

Si mnajua mambo ya sherehe ni watu?

Basi nilikubali akanambia send off in mwezi wa november, so aliniomba mke mtarajiwa aje kwangu nimuone tuongee mambo fulani.

Kweli bi dada alikuja nikampokea ni kampa customer care zote.

Basi aliniomba kuangalia picha ambazo nilishasimamia send off mbalimbali nikampa akaangalia kweli alisifia sana.

Aliniuliza sasa dada mm nitapendeza kwa vazi lip? Nikamwambia tuvae tofauti kidogo na hapa bongo walivo zoea.

Kweli alipenda mavazi ya sendoff za kwetu.

Alikubali akaniomba mambo fulani nikamwambia hakuna shida nitasaidia though nigharama.

Wakati anaangalia picha niliona anaangalia picha huku akinitizama.

Nilichukulia poa, alishukuru sana na akanisisitiza nimsaidie niwezavyo apendeze.

Muda ulifika nikamsindikiza akarudi kwake.

Tatizo lenyewe alipofika kwao huko kwao aliwambia mashoga zake kuwa kapata matron hao mashoga zake walikuwa wanne. Walimwambia tumuone whatsap(si wadada mnajua zetu) kumbe mmoja wapo ni rafiki yangu nakwenye facebook, nilisoma nae advanced so alinijua.

Kwahiyo katika mashoga zake mmoja akaanza wewe(bi harus mtarajiwa) wewe ni mjinga sana utatafutaje matron ambae hamuendani kwani yeye ndo anaolewa?

Ivi nani alimtafuta? Akawambia ni mme wake na dada yake kweli walisema mengi sana mpaka mmoja naomba nisiyaseme.
So yule ambae ni rafiki yangu fb akanitafuta akanambia kila kitu kweli nilijiskia vibaya maana hakunificha lolote

Ukweli ni kwamba bidada na mimi niliona hatuendani kabisa labda tunataka kufanana rangi tu ila pengine sijisifii hatuendani yaani sikustahili niwe matron wake.

Lakini nikasema kama wameridhia poa nisikatae wakasema naringa.

Ikumbukwe kuwa bi dada alipo kuja nilimuhuliza vipi kwenu huwezi pata matron? Akasema sio wazoefu na sherehe itafanyiwa hapa mjini so nitafaa mim.

Baada ya hayo yote walonitukana mashoga zake kumbuka kwenye sherehe watakuwepo nikawaza watakavyokuwa nanyooshewa kidole nikasema hapana isiwe ishu siendi though nitafanya yafuatayo.

1.Mchango natuma

2.Vitu alivoniomba namtumia

3.Sitoi sababu ya kutoenda namwambia atafute mwingine ili nisimsalti yule rafiki yangu facebook aliniambia.

Mama wa kijana juzi alinipigia akanambia nitakuja nikamwambia mungu akijaria huyo mama ananipendaga sana.

Wana mmu maneno walosema lililoniuna ni ili (' au huyo matron alikuwa mchepuko wake?) ndo maana alimtafta?' jamani limeniuma ukizingatia mkaka mwenyewe si type yangu afu ni under age below 30 kwangu hapana coz na mm niko under 30 jamani imeniuma nitaonekana kituko nikienda hasa wale mashoga wa bi harusi.

Jamani familia ya kijana tunaheshimiana sana ila ndo ivo tena.kwanza wamenipunguzia gharama.

Jaman maamuzi haya ni sahihi? Je ikifikazangu yangu mda ukifika wanaweza susia sherehe yangu?

Naomba ushauri.

karibuni wote.
 
Mmmhhh
Yaani wanawake bwana tuna mambo. ..hivi hapo hao mashost wanaona wivu tu hakuna kingine!

Kwa maoni yangu
Usiache, just do it!ukiacha watafurahi!

Najua utakuwa umemzidi bi harus muonekano mzuri!!!!!
Hahaa haaa
Jus do it
 
FUPISHA story kidogo...

Halafu SAY nishaurini SIO nishaulini..


Wana mmu kwema?
Kuna jambo limenitatiza nikafanya maamuzi ila likanilazimu nililete hapa nione ushauri wenu.
Ni ivi kuna kijana mmoja tunafahamiana kwa mda mrefu ni just a friend ananiheshimu sana kiukweli hatuna lolote ni heshima tu ya mda mrefu (kwanza si type yangu so mnielewe)
majuzi alinipigia sim yeye na dada yake wanaomba niwe matrion wa mke wake, yaan huyo kijana ndo anaoa.
Niwarudishe nyuma kidogo kwa ufupi nakuaga matron sana marafiki zangu wanapenda niwe matron tho sio wote nawakubalia. Huyo kijana na dada yake hata mama yao wote wanajua kuwa hiyo shuguri naweza ndo maana waliniomba.waliponambia nilitaka kukataa lakin nikaona mama yao atanielewaje? Afu ikifika siku yangu je watanisaidia? Si mnajua mambo ya sherehe ni watu?

Basi nilikubali akanambia send off in mwezi wa november, so aliniomba mke mtarajiwa aje kwangu nimuone tuongee mambo flan.
Kweli bi dada alikuja nikampokea ni kampa customer care zote. Stor stor.
Basi aliniomba kuangalia picha ambazo nilishasimamia send off mbalimbali nikampa akaangalia kweli alisifia sana.
Aliniuliza sasa dada mm nitapendeza kwa vazi lip? Nikamwambia tuvae tofauti kidogo na hapa bongo walivo zoea. Kweli alipenda mavazi ya sendoff za kwetu. Alikubali akaniomba mambo flani nikamwambia hakuna shida nitasaidia tho nigarama.

Wakati anaangalia picha niliona anaangalia picha huku akinitizama.nilichukulia poa.alishukuru sana na akanisisitiza nimsaidie niwezavyo apendeze. Mda ulifika nikamsindikiza akarudi kwake
Tatizo lenyewe alipofika kwao huko kwao aliwambia mashofa zake kuwa kapata matron hao mashoga zake walikuwa wanne, walimwambie tumuone whatsap(si wadada mnajua zetu) kumbe mmoja wapo ni rafiki yangu fb na nilisoma nae advanced so alinijua.

Kwaiyo kati ya mashoga zake mmoja akaanza wew(bi harus mtarajiwa) wew ni mjinga sana utataftaje matron ambae hamuendani kwan yeye ndo anaolewa? Ivi nani alimtafta? Akawambia ni mme wake na dada yake kweli walisema mengi sana mpaka mmoja naomba nisiyaseme.
So yule ambae ni rafiki yangu fb akanitafuta akanambia kila kitu kweli nilijiskia vibaya maana hakunificha lolote

ukweli ni kwamba bidada na mm niliona hatuendani kabisa labda tunataka kufanana rangi tu ila pengine sijisifii hatuendani yaani sikustahili niwe matron wake.lakin nikasema kama wamelidhia poa nisikatae wakasema naringa.

Ikumbukwe kuwa bi dada alipo kuja nilimuhuliza vip kwenu huwezi pata matron? Akasema sio wazoefu na sherehe itafanyiwa hapa mjini so nitafaa mim.

Baada ya hayo yote walonitukana mashoga zake kumbuka kwenye sherehe watakuwepo nikawaza watakavyokuwa nanyooshewa kidole nikasema hapana isiwe ishu siendi tho nitafanya yafuatayo
1:mchango natuma
2: vitu alivoniomba namtumia
3:sitowi sababu ya kutoenda namwambia atafte mwingine ili nisimsalti yule rafiki yangu fb alienambia.

Mama wa kijana juzi alinipigia akanambia nitakuja nikamwambia mungu akijaria huyo mama ananipendaga sana.
Wana mmu maneno walosema lililoniuna ni ili (' au huyo matron alikuwa mchepuko wake?) ndo maana alimtafta?' jamani limeniuma ukizingatia mkaka mwenyewe si type yangu afu ni under age below 30 kwangu hapana coz na mm niko under 30 jaman imeniuma nitaonekana kituko nikienda hasa wale mashoga wa bi harusi.
Jamani familia ya kijana tunaheshimiana sana ila ndo ivo tena.kwanza wamenipunguzia garama.
Jaman maamuzi haya ni sahihi? Je ikifikazangu yangu mda ukifika wanaweza susia sherehe yangu? Naomba ushauri:

karibuni wote.
 
Na yeye bi harusi ni mzembe, hivi nani siku hizi anachaguliwa maid of honor? Hao rafiki zake hakuwaona hadi waje wakuombe wewe?? Wewe shoga angu kasimamie vizuri tu coz hiyo familia ndo wamekuomba. So wewe nenda vizuri tu, na make sure unaitendea haki hiyo shughuli. Hahaha haya mambo bana unashangaa kila mtu anawish maid of honor ndo angekuwa mtarajiwaa mwee
 
mi nnavofahamu send off ni sherehe ya upande wa bi harusi ss huyo mama mkwe, wifi mtu na bwana harusi yamewakuta yepi? hiyo sababu aliyotoa huyo bi harusi haina mantiki
 
Ridiculous stuff zinazoletwa na harusi. Watu badala ya kufocus kwenye ndoa eti 'Not my type'. Kwani wewe malaika na yeye binadamu? The last time I checked wote mnabelong to the same specie...Usiseme huendani na mtu kwa sababu at the end of the day we are all different. Yani kusimama tu na binadamu mwenzio unaona ni issue? Huendani naye kwa unamuoa wewe? Hata ukipita mtaani watu wanakusema and frankly waliyokusema wakati hupo hayakuhusu....

Kiukweli issue yako in utoto too much kiasi kwamba ushauri ni uende ukakue kwanza
 
mhm..za kikekike...huwa hazieleweki..mpaka uwe na muda...napita
 
Yakkkkkhhhhhh

Yaani uache kwa maneno ya watu ambao hawakupunguzii wala kukuzidishia???

Huyo bi harusi kama she's a woman enough si aje akwambie mwenyewe kuwa hakutaki......

Kama hao marafiki wanauoendo sana na bibi harusi kwa nini wasingemsaidia wakasimamie mpaka kuwapa shida upande wa biharusi????

Hebu nenda kasimamie....ila.bi harusi akukuketea shombo mpe za uso afterall wao ndio wamekufata na si wewe ulowafata.....

Acha bibi harusi akukatae mwenyewe na usimpe sababu....
 
mi nnavofahamu send off ni sherehe ya upande wa bi harusi ss huyo mama mkwe, wifi mtu na bwana harusi yamewakuta yepi? hiyo sababu aliyotoa huyo bi harusi haina mantiki

Labda bibi harusi "anabembelezea" ndoa so inabidi akubali tu
 
wanawake tuna mambo as long as maharusi bado wanakuhitaji wewe simamia coz utawapa sababu gani ya kuacha kama hadi mama mtu amekuomba,ukiacha kusimama ndio itakuwa furaha yao
 
Wana mmu kwema?
Kuna jambo limenitatiza nikafanya maamuzi ila likanilazimu nililete hapa nione ushauri wenu.
Ni ivi kuna kijana mmoja tunafahamiana kwa mda mrefu ni just a friend ananiheshimu sana kiukweli hatuna lolote ni heshima tu ya mda mrefu (kwanza si type yangu so mnielewe)
majuzi alinipigia sim yeye na dada yake wanaomba niwe matrion wa mke wake, yaan huyo kijana ndo anaoa.
Niwarudishe nyuma kidogo kwa ufupi nakuaga matron sana marafiki zangu wanapenda niwe matron tho sio wote nawakubalia. Huyo kijana na dada yake hata mama yao wote wanajua kuwa hiyo shuguri naweza ndo maana waliniomba.waliponambia nilitaka kukataa lakin nikaona mama yao atanielewaje? Afu ikifika siku yangu je watanisaidia? Si mnajua mambo ya sherehe ni watu?

Basi nilikubali akanambia send off in mwezi wa november, so aliniomba mke mtarajiwa aje kwangu nimuone tuongee mambo flan.
Kweli bi dada alikuja nikampokea ni kampa customer care zote. Stor stor.
Basi aliniomba kuangalia picha ambazo nilishasimamia send off mbalimbali nikampa akaangalia kweli alisifia sana.
Aliniuliza sasa dada mm nitapendeza kwa vazi lip? Nikamwambia tuvae tofauti kidogo na hapa bongo walivo zoea. Kweli alipenda mavazi ya sendoff za kwetu. Alikubali akaniomba mambo flani nikamwambia hakuna shida nitasaidia tho nigarama.

Wakati anaangalia picha niliona anaangalia picha huku akinitizama.nilichukulia poa.alishukuru sana na akanisisitiza nimsaidie niwezavyo apendeze. Mda ulifika nikamsindikiza akarudi kwake
Tatizo lenyewe alipofika kwao huko kwao aliwambia mashofa zake kuwa kapata matron hao mashoga zake walikuwa wanne, walimwambie tumuone whatsap(si wadada mnajua zetu) kumbe mmoja wapo ni rafiki yangu fb na nilisoma nae advanced so alinijua.

Kwaiyo kati ya mashoga zake mmoja akaanza wew(bi harus mtarajiwa) wew ni mjinga sana utataftaje matron ambae hamuendani kwan yeye ndo anaolewa? Ivi nani alimtafta? Akawambia ni mme wake na dada yake kweli walisema mengi sana mpaka mmoja naomba nisiyaseme.
So yule ambae ni rafiki yangu fb akanitafuta akanambia kila kitu kweli nilijiskia vibaya maana hakunificha lolote

ukweli ni kwamba bidada na mm niliona hatuendani kabisa labda tunataka kufanana rangi tu ila pengine sijisifii hatuendani yaani sikustahili niwe matron wake.lakin nikasema kama wamelidhia poa nisikatae wakasema naringa.

Ikumbukwe kuwa bi dada alipo kuja nilimuhuliza vip kwenu huwezi pata matron? Akasema sio wazoefu na sherehe itafanyiwa hapa mjini so nitafaa mim.

Baada ya hayo yote walonitukana mashoga zake kumbuka kwenye sherehe watakuwepo nikawaza watakavyokuwa nanyooshewa kidole nikasema hapana isiwe ishu siendi tho nitafanya yafuatayo
1:mchango natuma
2: vitu alivoniomba namtumia
3:sitowi sababu ya kutoenda namwambia atafte mwingine ili nisimsalti yule rafiki yangu fb alienambia.

Mama wa kijana juzi alinipigia akanambia nitakuja nikamwambia mungu akijaria huyo mama ananipendaga sana.
Wana mmu maneno walosema lililoniuna ni ili (' au huyo matron alikuwa mchepuko wake?) ndo maana alimtafta?' jamani limeniuma ukizingatia mkaka mwenyewe si type yangu afu ni under age below 30 kwangu hapana coz na mm niko under 30 jaman imeniuma nitaonekana kituko nikienda hasa wale mashoga wa bi harusi.
Jamani familia ya kijana tunaheshimiana sana ila ndo ivo tena.kwanza wamenipunguzia garama.
Jaman maamuzi haya ni sahihi? Je ikifikazangu yangu mda ukifika wanaweza susia sherehe yangu? Naomba ushauri:

karibuni wote.

wadada wa salon wanaweza kutoa ushauri hapa
 
Usipende kusimamia harusi za watu...wanasema ni nuksi... utakuwa huolewi...maana kama huko under 30 afu umeshakuwa matron mzoefu ina maana unapenda sana shughuli...

Nijuavyo mimi matron anatakiwa awe tayari kwenye ndoa...

Mi sijawahi kuwa matron na sijawai kuwaza eti ntakuja kukosa matron kisa nimetolea watu nje waliponiomba niwe msimamizi...
 
Wana mmu kwema?
Kuna jambo limenitatiza nikafanya maamuzi ila likanilazimu nililete hapa nione ushauri wenu.
Ni ivi kuna kijana mmoja tunafahamiana kwa mda mrefu ni just a friend ananiheshimu sana kiukweli hatuna lolote ni heshima tu ya mda mrefu (kwanza si type yangu so mnielewe)
majuzi alinipigia sim yeye na dada yake wanaomba niwe matrion wa mke wake, yaan huyo kijana ndo anaoa.
Niwarudishe nyuma kidogo kwa ufupi nakuaga matron sana marafiki zangu wanapenda niwe matron tho sio wote nawakubalia. Huyo kijana na dada yake hata mama yao wote wanajua kuwa hiyo shuguri naweza ndo maana waliniomba.waliponambia nilitaka kukataa lakin nikaona mama yao atanielewaje? Afu ikifika siku yangu je watanisaidia? Si mnajua mambo ya sherehe ni watu?

Basi nilikubali akanambia send off in mwezi wa november, so aliniomba mke mtarajiwa aje kwangu nimuone tuongee mambo flan.
Kweli bi dada alikuja nikampokea ni kampa customer care zote. Stor stor.
Basi aliniomba kuangalia picha ambazo nilishasimamia send off mbalimbali nikampa akaangalia kweli alisifia sana.
Aliniuliza sasa dada mm nitapendeza kwa vazi lip? Nikamwambia tuvae tofauti kidogo na hapa bongo walivo zoea. Kweli alipenda mavazi ya sendoff za kwetu. Alikubali akaniomba mambo flani nikamwambia hakuna shida nitasaidia tho nigarama.

Wakati anaangalia picha niliona anaangalia picha huku akinitizama.nilichukulia poa.alishukuru sana na akanisisitiza nimsaidie niwezavyo apendeze. Mda ulifika nikamsindikiza akarudi kwake
Tatizo lenyewe alipofika kwao huko kwao aliwambia mashofa zake kuwa kapata matron hao mashoga zake walikuwa wanne, walimwambie tumuone whatsap(si wadada mnajua zetu) kumbe mmoja wapo ni rafiki yangu fb na nilisoma nae advanced so alinijua.

Kwaiyo kati ya mashoga zake mmoja akaanza wew(bi harus mtarajiwa) wew ni mjinga sana utataftaje matron ambae hamuendani kwan yeye ndo anaolewa? Ivi nani alimtafta? Akawambia ni mme wake na dada yake kweli walisema mengi sana mpaka mmoja naomba nisiyaseme.
So yule ambae ni rafiki yangu fb akanitafuta akanambia kila kitu kweli nilijiskia vibaya maana hakunificha lolote

ukweli ni kwamba bidada na mm niliona hatuendani kabisa labda tunataka kufanana rangi tu ila pengine sijisifii hatuendani yaani sikustahili niwe matron wake.lakin nikasema kama wamelidhia poa nisikatae wakasema naringa.

Ikumbukwe kuwa bi dada alipo kuja nilimuhuliza vip kwenu huwezi pata matron? Akasema sio wazoefu na sherehe itafanyiwa hapa mjini so nitafaa mim.

Baada ya hayo yote walonitukana mashoga zake kumbuka kwenye sherehe watakuwepo nikawaza watakavyokuwa nanyooshewa kidole nikasema hapana isiwe ishu siendi tho nitafanya yafuatayo
1:mchango natuma
2: vitu alivoniomba namtumia
3:sitowi sababu ya kutoenda namwambia atafte mwingine ili nisimsalti yule rafiki yangu fb alienambia.

Mama wa kijana juzi alinipigia akanambia nitakuja nikamwambia mungu akijaria huyo mama ananipendaga sana.
Wana mmu maneno walosema lililoniuna ni ili (' au huyo matron alikuwa mchepuko wake?) ndo maana alimtafta?' jamani limeniuma ukizingatia mkaka mwenyewe si type yangu afu ni under age below 30 kwangu hapana coz na mm niko under 30 jaman imeniuma nitaonekana kituko nikienda hasa wale mashoga wa bi harusi.
Jamani familia ya kijana tunaheshimiana sana ila ndo ivo tena.kwanza wamenipunguzia garama.
Jaman maamuzi haya ni sahihi? Je ikifikazangu yangu mda ukifika wanaweza susia sherehe yangu? Naomba ushauri:

karibuni wote.

dada wewe muhaya?
 
Usipende kusimamia harusi za watu...wanasema ni nuksi... utakuwa huolewi...maana kama huko under 30 afu umeshakuwa matron mzoefu ina maana unapenda sana shughuli...

Nijuavyo mimi matron anatakiwa awe tayari kwenye ndoa...

Mi sijawahi kuwa matron na sijawai kuwaza eti ntakuja kukosa matron kisa nimetolea watu nje waliponiomba niwe msimamizi...

Too ukoloni
 
Back
Top Bottom